9. Kubinya dawa ya mswaki katikati....
10. Kuvaa boxer / singlend chafu
11. Kutongoza haus gel
12. Kuwa wavivu kuoga/kupigaswaki ...........
Nitarudi!!!!
1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.
2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa
3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.
4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.
5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.
6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.
7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.
8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.
Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??
1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.
2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa
3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.
4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.
5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.
6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.
7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.
8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.
Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??
Hiyo ya boxer umeijuaje?9. Kubinya dawa ya mswaki katikati....
10. Kuvaa boxer / singlend chafu
11. Kutongoza haus gel
12. Kuwa wavivu kuoga/kupigaswaki ...........
Nitarudi!!!!
13. Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika
14. Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege
15. Kutofua boxer na socks zake hadi wife awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi
9. Kubinya dawa ya mswaki katikati....
10. Kuvaa boxer / singlend chafu
11. Kutongoza haus gel
12. Kuwa wavivu kuoga/kupigaswaki ...........
Nitarudi!!!!
9. Kubinya dawa ya mswaki katikati....
10. Kuvaa boxer / singlend chafu
11. Kutongoza haus gel
12. Kuwa wavivu kuoga/kupigaswaki ...........
Nitarudi!!!!
.....Duuh...wanaume kwanza bwana swahiba...