Blaine
JF-Expert Member
- Jan 11, 2012
- 2,275
- 1,655
Good afternoon wanajf. ninapenda kujua maoni ya watu kuhusu dhamana kwa watuhumiwa wa mauaji. kama tujuavyo murder cases hazina bail na suspect hulazimika kukaa rumamne mpaka uchunguzi ukamilike na hii huweza kuchukua miaka kadhaa. personally naona hii sio sawa kwa sababu zifuatazo
- kumweka mtu rumande for years on end sio vizuri kisaikolojia na kiuchumi. akiwa huku hawezi kufanya kazi na kusaidia familia yake, instead analishwa na hela ya walipa kodi na kuwa mzigo kwa walio huru.
- hajui lini progress ya uchunguzi. so anakua psychologically affected without knowing when 'kifungo' chake kitaisha
- in case akikutwa hana hatia, hakuna namna ya kufidia muda 'alioupoteza' akiwa detained
- criteria za kuitwa murder suspect ziko 'too broad', simply being with the deceased shortly before inaweza kukutia matatani. hii inapaswa kuwa confirmed na daktari kuwepo kwa 'foul play', before kumsweka mtu rumande kwa uchunguzi. kuna small tests zinazoweza ku-establish this bila kuchukua miaka
- kutoroka kwa mtuhumiwa kunaweza kuepushwa kwa kumnyang'anya passport au kumtembelea randomly nyumbani kwake. hii ni rahisi tuu
- hii restriction iliwekwa zamani ambapo technolojia haikuruhusu lakini times have changed, hakuna haja ya kuendelea na sheria za kizamani