Igabiro
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 242
- 27
Kampuni ya GoldPlat imefanikiwa kupata mche wa kwanza wa dhahabu (first bar of gold) kutoka katika mgodi wa Kilimapesa, hiyo ndio dhahabu ya kwanza kupatika katika nchi ya Kenya, Sasa hapa ngoja tuone hawa jirani zetu watafaidika vipi na huo mgodi wao, labda inaweza kutusaidia hata sisi Tanzania wenye migodi lukuki ya dhahabu ambayo hatuna faida nayo.
Nawakilisha
Nawakilisha