DHAHABU NYEUSI:Russia 2018

Balozi Mbumbumbu

JF-Expert Member
May 29, 2016
406
355
Asante Kante,mchango wako katika dakika 45 hautasahaulika.Nenda na njano ila NYEUSI yako rangi itawachoma milele.
 
Wazungu huwa wanajitahd sana kumficha mtu mweusi asionekane...lkn kwa uwezo was Mungu bado mtu mweusi anamchango kwenye kila angle ya Dunia hii!
 
Mtaalamu Matuidi mimi nafikiri hanaga bahati huyu jamaa maana anajua sana lakini naona heshima anayopewa ni ndogo mnooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom