Balozi Mbumbumbu JF-Expert Member May 29, 2016 406 355 Jul 15, 2018 #1 Asante Kante,mchango wako katika dakika 45 hautasahaulika.Nenda na njano ila NYEUSI yako rangi itawachoma milele.
Asante Kante,mchango wako katika dakika 45 hautasahaulika.Nenda na njano ila NYEUSI yako rangi itawachoma milele.
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,871 155,841 Jul 15, 2018 #2 Huyu Paul Pogba ni Mnyiha kabisa wa Kamsamba
monde arabe JF-Expert Member Oct 22, 2017 8,487 13,018 Jul 15, 2018 #4 Wazungu huwa wanajitahd sana kumficha mtu mweusi asionekane...lkn kwa uwezo was Mungu bado mtu mweusi anamchango kwenye kila angle ya Dunia hii!
Wazungu huwa wanajitahd sana kumficha mtu mweusi asionekane...lkn kwa uwezo was Mungu bado mtu mweusi anamchango kwenye kila angle ya Dunia hii!
koncho77 JF-Expert Member Feb 26, 2014 7,790 10,374 Jul 16, 2018 #5 Mtaalamu Matuidi mimi nafikiri hanaga bahati huyu jamaa maana anajua sana lakini naona heshima anayopewa ni ndogo mnooo
Mtaalamu Matuidi mimi nafikiri hanaga bahati huyu jamaa maana anajua sana lakini naona heshima anayopewa ni ndogo mnooo