LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Sijawahi kusikia hata kama ana mke. Sasa watoto atawatoa wapi? Labda achunguzwe kwanza jinsiaHivi huyu mtu ana watoto wangapi? Maana labda tukiwajua tuwatafute tuwaombe wakampatie ushauri nasaha baba yao