Kwenye mifuko pension, DG wa LAPF ndiye mwenye mshahara mdogo. PPF DG anapokea basic salaryTshs 12M, Housing allowance 25%(Tshs 4,000,000), Fuel allowance Tshs 1,000,000(hii ni pamoja na kuwa fulll fueled VX V8) analipiwa house girl, houseboy na walinzi. Anapoanza mkataba wa miaka minne hupewa Tshs 57.6m anunue Furniture. Akimaliza miaka minne hupata Tshs 520M kama Group endowment(hizi anaiba), Tshs 144M as gratuity bila kusahau pension ya Tshs 115.2
Mnamshangaa wa LAPF?
Kwenye mifuko pension, DG wa LAPF ndiye mwenye mshahara mdogo. PPF DG anapokea basic salaryTshs 12M, Housing allowance 25%(Tshs 4,000,000), Fuel allowance Tshs 1,000,000(hii ni pamoja na kuwa fulll fueled VX V8) analipiwa house girl, houseboy na walinzi. Anapoanza mkataba wa miaka minne hupewa Tshs 57.6m anunue Furniture. Akimaliza miaka minne hupata Tshs 520M kama Group endowment(hizi anaiba), Tshs 144M as gratuity bila kusahau pension ya Tshs 115.2
Mnamshangaa wa LAPF?
pesa ndogo sana hiyowana JF naomba kuwasilisha, kama hamjui the best paying government institution may be after TRA ni LAPF (local authorities pension fund) mana hata ukiwa ni mfanyakzi wa kawaida mshahara ni mnono.
DG= DIRECTOR GENERAL
Kinacholalamikiwa si mshahara mkubwa kama mshahara mkubwa, Bali ni tofauti kubwa za mishahara zilizopo katika serikali yetu kwa watu wenye sifa zinazolingana, na hata baina ya watu wenye sifa tofauti. Tofauti ni kubwa mno and they are shocking. Wakati mtu mmoja analipwa 10Ml mwingine analipwa 120,000/= Tsh. Tumeona askari mgambo wa halmashauri ya Ilala wakiwa wamegoma juzi, wanalipwa laki na ishirini, hakuna extra duty, hakuna malipo ya hifadhi za jamii wala chochote. Sasa hiki ndicho kinacholalamikiwa hapa.
pesa ndogo sana hiyo
unless hujui unasema nini au ndio wkanza umeanza kazi
Mbona huo Mshahara unakaribia wa Walinzi wa BoT??? Best paying Best paying njoo boT uone watu wanavyokula bata.:whoo:
Kwenye mifuko pension, DG wa LAPF ndiye mwenye mshahara mdogo. PPF DG anapokea basic salaryTshs 12M, Housing allowance 25%(Tshs 4,000,000), Fuel allowance Tshs 1,000,000(hii ni pamoja na kuwa fulll fueled VX V8) analipiwa house girl, houseboy na walinzi. Anapoanza mkataba wa miaka minne hupewa Tshs 57.6m anunue Furniture. Akimaliza miaka minne hupata Tshs 520M kama Group endowment(hizi anaiba), Tshs 144M as gratuity bila kusahau pension ya Tshs 115.2
Mnamshangaa wa LAPF?
ndogo sana ukilinganisha na ipi mkuu?pesa ndogo sana hiyo
unless hujui unasema nini au ndio wkanza umeanza kazi
wakati ni wake CDM MWACHE ATESE WENYEWE WANASEMA KUTESA KWA ZAMUwana JF naomba kuwasilisha, kama hamjui the best paying government institution may be after TRA ni LAPF (local authorities pension fund) mana hata ukiwa ni mfanyakzi wa kawaida mshahara ni mnono.
DG= DIRECTOR GENERAL
Ungependa alipwe kiasi gani ? Toa ushauri wako.
Hao wote cha mtoto kiboko yao ni DG wa NSSF anakula 20 M na for your information asst. Directors wanakula 13M per month. The World is not fair ndo maana ma doctor wanagoma
Binadamu tuna matatizo!!!! Lipi jema lakini??? Serikali ikilipa mshahara mdogo tunaponda!!! Ooh!! serikali inalipa kiduchu!!!
Serkali ikilipa mshahara mnono ooh!! inalipa mshahara mkubwa!!! Sa unataka ifanyaje????
Kaka inaelekea ukonyuma katika kufaham ivi unajua kama General Manager mgodi wa buzwagi analipwa mil70 kwa mwez na apo bado ajapata posho
:target: