DG WA LAPF ANACHUKUA 10 MILL( Best paying GVT institution)

Kwenye mifuko pension, DG wa LAPF ndiye mwenye mshahara mdogo. PPF DG anapokea basic salaryTshs 12M, Housing allowance 25%(Tshs 4,000,000), Fuel allowance Tshs 1,000,000(hii ni pamoja na kuwa fulll fueled VX V8) analipiwa house girl, houseboy na walinzi. Anapoanza mkataba wa miaka minne hupewa Tshs 57.6m anunue Furniture. Akimaliza miaka minne hupata Tshs 520M kama Group endowment(hizi anaiba), Tshs 144M as gratuity bila kusahau pension ya Tshs 115.2

Mnamshangaa wa LAPF?

Du! hii kali. Na bado anafukuzana na vi-deal vinavyojitokeza. Hata hivyo the highly paid DG katika social security sector, ni wa PSPF. LAPF cha mtoto
 
Kaka naomba ni uliza, uyu DG wa PPF bwn WE anapewa housing allowance inakuaje wakat anaisha kwny nyumba ya Mfuko huo iliyopo pale Masaki mtaa wa ................................ ? Ufafanuzi
 
Kwenye mifuko pension, DG wa LAPF ndiye mwenye mshahara mdogo. PPF DG anapokea basic salaryTshs 12M, Housing allowance 25%(Tshs 4,000,000), Fuel allowance Tshs 1,000,000(hii ni pamoja na kuwa fulll fueled VX V8) analipiwa house girl, houseboy na walinzi. Anapoanza mkataba wa miaka minne hupewa Tshs 57.6m anunue Furniture. Akimaliza miaka minne hupata Tshs 520M kama Group endowment(hizi anaiba), Tshs 144M as gratuity bila kusahau pension ya Tshs 115.2

Mnamshangaa wa LAPF?


Haya sasa siyo malipo ya kawaida, ni ufisadi. Ndio maana hii mifuko inaelekea kufilisika na wanashindwa kuwalipa pension wanachama. Kuna baadhi maprofesa wa vyuo ambao wamestaafu miaka ya karibuni walipata malipo ya uzeeni chini ya milion 20 wakati wamechangia PPF katika kipindi chote cha utumishi wao.
 
nani kakwambia TRa wanalipa vizuri sana kwa govt? TRA wizi ndo unawafanya waonekane wanalipa sana. ila haya mashirika ya mifuko ya ifadhi zab jamiii ndo yanalipa vizuri, na wafanyakzi wao wana myanya michache mno ya rushwa na wizi, ukilinganisha na TRA! njo NHIF huku unione ninavyo ng'aa ndo kwanza nimeanza kazi na kitengo changu hakina hata chaneli ya kuchakachua pesa bali ni kazi tu, na nakula unono!
 
wana JF naomba kuwasilisha, kama hamjui the best paying government institution may be after TRA ni LAPF (local authorities pension fund) mana hata ukiwa ni mfanyakzi wa kawaida mshahara ni mnono.

DG= DIRECTOR GENERAL
pesa ndogo sana hiyo

unless hujui unasema nini au ndio wkanza umeanza kazi
 
Kinacholalamikiwa si mshahara mkubwa kama mshahara mkubwa, Bali ni tofauti kubwa za mishahara zilizopo katika serikali yetu kwa watu wenye sifa zinazolingana, na hata baina ya watu wenye sifa tofauti. Tofauti ni kubwa mno and they are shocking. Wakati mtu mmoja analipwa 10Ml mwingine analipwa 120,000/= Tsh. Tumeona askari mgambo wa halmashauri ya Ilala wakiwa wamegoma juzi, wanalipwa laki na ishirini, hakuna extra duty, hakuna malipo ya hifadhi za jamii wala chochote. Sasa hiki ndicho kinacholalamikiwa hapa.

jaman hiz nafac wanazpataje hawa wamutu,, kwel hii dunia its not fair.
 
tofauti ni kubwa kati ya mshahara na mshahara hivyo lazima tukubali katika nchi hii, hata vidole havilingani.
 
Hebu niambie kama kuna mtu amewahi kuona tangazo la kazi za juu pale lapf. Ni ndoto wanaingia na kutoka walewale ila tofauti majina tu....utasikia, kimario, kihiyo, kimaro ,swai.....
 
Hao wote cha mtoto kiboko yao ni DG wa NSSF anakula 20 M na for your information asst. Directors wanakula 13M per month. The World is not fair ndo maana ma doctor wanagoma
 
Kwenye mifuko pension, DG wa LAPF ndiye mwenye mshahara mdogo. PPF DG anapokea basic salaryTshs 12M, Housing allowance 25%(Tshs 4,000,000), Fuel allowance Tshs 1,000,000(hii ni pamoja na kuwa fulll fueled VX V8) analipiwa house girl, houseboy na walinzi. Anapoanza mkataba wa miaka minne hupewa Tshs 57.6m anunue Furniture. Akimaliza miaka minne hupata Tshs 520M kama Group endowment(hizi anaiba), Tshs 144M as gratuity bila kusahau pension ya Tshs 115.2

Mnamshangaa wa LAPF?


kinu cha maiyako, apaa tata kafana teri!!!!! e-e!! yesu na maria!!!!
 
wana JF naomba kuwasilisha, kama hamjui the best paying government institution may be after TRA ni LAPF (local authorities pension fund) mana hata ukiwa ni mfanyakzi wa kawaida mshahara ni mnono.

DG= DIRECTOR GENERAL
wakati ni wake CDM MWACHE ATESE WENYEWE WANASEMA KUTESA KWA ZAMU
 
Hao wote cha mtoto kiboko yao ni DG wa NSSF anakula 20 M na for your information asst. Directors wanakula 13M per month. The World is not fair ndo maana ma doctor wanagoma

Umeniput off sana yaani tunavyofanyizwa makazi tunapewa mishahara mbuzi kweli hii dunia haina usawa hata kidogo...naenda nyumbani acha hata hiyo overtime yao wasinipe leo...bully shit...
 
Binadamu tuna matatizo!!!! Lipi jema lakini??? Serikali ikilipa mshahara mdogo tunaponda!!! Ooh!! serikali inalipa kiduchu!!!
Serkali ikilipa mshahara mnono ooh!! inalipa mshahara mkubwa!!! Sa unataka ifanyaje????

Wapi Maubig kaponda katika post yake original?
 
Ni kweli wakuu kuna watu wana mshiko mrefu, kwa mfano kuna NGO moja ya kimataifa walinitumia nafasi flani ya kazi, salary ilikuwa ni kama paundi 40,000 ya mwingereza ukibadili kwa hela ya kibongo 40,000*2500 unapata kitu kama 100,000,000/=kwa mwezi,
 
Kaka inaelekea ukonyuma katika kufaham ivi unajua kama General Manager mgodi wa buzwagi analipwa mil70 kwa mwez na apo bado ajapata posho

:target:

...Brother, Please tell me you are Joking! 70 Mil kabla ya Posho...??? well,well, well...!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom