Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Asee si mchezo!!
true, kuna vitoto vinapokea zaidi hapa dar... halafu mtu amekomalia mshahara wakati kinachotula ni maposho na mapocho-pocho
posho ya mafuta
gari la bure (bila kujali posho ya mafuta)
hausi gelo
vibwengo
nyumba
umeme
maji
gesi
entertainment
matibabu
chakula
etc
hizo ni twice ya mshahara.... na bado kuna kreti 3 za soda, tatu za bia, wine, whiskey, brand, nk kila mwezi kulea wageni