Developers wa Tanzania, kwanini tusiungane?

proceeds zpo mbna kama hyo website ya technocrats hapo juu ni proceed nzuri na developers wapo wengi sana Lakini huwezi ona wanajitangaza kwa sababu wengi hawafanyi kwa ajili ya opern source

ok hapo nimekupata
 
Hivi Wabongo mumefikia wapi na hizi jitihada zenu za kuungana, nimejiunga kwenye forums zeu tofauti ila humo nakuta kimyaaa!!!
Halafu hii haifungui technocrats.co.tz
 
Jukwaa la tech limekuwa overcrowded na vitu vingi sana mara ufundi solar, simu , tv sijui maswala ya blender . Kwanini Maxence Melo usituwekee section ambayo developers tutakutana.
Btw, hili swala limezungumzwa sana .
 
Jukwaa la tech limekuwa overcrowded na vitu vingi sana mara ufundi solar, simu , tv sijui maswala ya blender . Kwanini Maxence Melo usituwekee section ambayo developers tutakutana.
Btw, hili swala limezungumzwa sana .

Hili ombi tumewasilisha kwa muda mrfu sana sijui kwanini wameligomea, ukienda kule Nairaland utakuta jukwaa la developers pembeni ambapo jamaa huachia madini hadi raha.
 
Tulitaka kufanya hii kitu ila tukasikia serikali nayo inayaka kukatisha ticket za mabasi online, tukaiachilia mbali kwani huwezi kushindana na serikali
 
Tulitaka kufanya hii kitu ila tukasikia serikali nayo inayaka kukatisha ticket za mabasi online, tukaiachilia mbali kwani huwezi kushindana na serikali

Serkali yenu imeshatangaza tenda ya hii kitu kupitia SUMATRA na makampuni fulani yalishinda, hivyo muisahau tayari inatekelezwa na inakwenda freshi. Waza kingine mtasklizwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…