Gojaga Nize
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 3,177
- 2,538
Nini kinakusumbua na kabila sio lako?Pumbavu zao
Nini kinakusumbua na kabila sio lako?Pumbavu zao
Nyoko wewe ndiyo maana linazeekea kwa mama limekosa wa kulioa!Pumbavu zao
Hutaki kufatiliwa.. ili ujivinjari na wadauUongo niliwahi kuwa na msukuma tabia zake zilizokuwa zinanikera ni kufuatiliwa basi ila mengi raha tu anajua kupenda kutunza sana . Hana tabia kama hizo .
Saa ya chakula mtakula wote na kukulisha anakulisha na anakuwa nawewe kila saa sasa hizo tabia nasikia leo.
Baba yake hana tabia hizo so labda kijijini
umeyaona mangapi mkuu.. Na ilikuaje ukayaona?? Tunaomba utusimulie experience yako na hayo magovi ya kisukuma tafadhari.Na wanaume kuwa na Govi ni kawaida tuu!
Yeah na watamchezea mpaka azeekeNdio maana hujaolewa
Hii ni kutokana wanafanya kazi kwa nguvu na njaa kwao mwiko....Wasukuma ni wakarimu sana hasa wa maeneo ya shinyanga, sio wachoyo wa chakula. Ukifanya nao kazi wakati wa mavuno watakuletea zawadi kama viazi,maziwa karanga za kutosha.
Hapo kwenye kusalimia kisukuma.....◇Mwanaume wa kisukuma ni ngumu kutangulizana na mkewe either mmoja aanze kutoka mwingine aje kwa nyuma ala kuondoka kwa pamoja hio sahau
◇ Ukienda usukumani chakula kizuri kama nyama ya kuku, mapaja na viongo vingine vitamu hupelekwa kwa wanaume
◇ wanaume kula na wanawake ni marufuku. Wanawake wanakula kivyao na wanaume kivyao
◇Mwanamke lazima uanze kumsalimia mmeo tena kwa kisukuma hhuna kiswahili
◇ wageni wakija lazima uwasalimie kwa kisukuma
◇ Mkipangwa kula na wageni kwa mtoto huruhusiwi kuchukua nyama kabla ya mgeni
◇ kwenye kuitna sasa mwanaume wa kisukuma hawezi kukuita jina lako badala yake atakuita ng'wanajuma 😁(maana ake mtoto wa juma)
Naishia hapo