Desturi za wasukuma

Desturi za wasukuma

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,958
◇Mwanaume wa kisukuma ni ngumu kutangulizana na mkewe either mmoja aanze kutoka mwingine aje kwa nyuma ala kuondoka kwa pamoja hio sahau
◇ Ukienda usukumani chakula kizuri kama nyama ya kuku, mapaja na viongo vingine vitamu hupelekwa kwa wanaume
◇ wanaume kula na wanawake ni marufuku. Wanawake wanakula kivyao na wanaume kivyao
◇Mwanamke lazima uanze kumsalimia mmeo tena kwa kisukuma hhuna kiswahili
◇ wageni wakija lazima uwasalimie kwa kisukuma
◇ Mkipangwa kula na wageni kwa mtoto huruhusiwi kuchukua nyama kabla ya mgeni
◇ kwenye kuitna sasa mwanaume wa kisukuma hawezi kukuita jina lako badala yake atakuita ng'wanajuma 😁(maana ake mtoto wa juma)
Naishia hapo
 
◇Mwanaume wa kisukuma ni ngumu kutangulizana na mkewe either mmoja aanze kutoka mwingine aje kwa nyuma ala kuondoka kwa pamoja hio sahau
◇ Ukienda usukumani chakula kizuri kama nyama ya kuku, mapaja na viongo vingine vitamu hupelekwa kwa wanaume
◇ wanaume kula na wanawake ni marufuku. Wanawake wanakula kivyao na wanaume kivyao
◇Mwanamke lazima uanze kumsalimia mmeo tena kwa kisukuma hhuna kiswahili
◇ wageni wakija lazima uwasalimie kwa kisukuma
◇ Mkipangwa kula na wageni kwa mtoto huruhusiwi kuchukua nyama kabla ya mgeni
◇ kwenye kuitna sasa mwanaume wa kisukuma hawezi kukuita jina lako badala yake atakuita ng'wanajuma 😁(maana ake mtoto wa juma)
Naishia hapo
Na wanaume kuwa na Govi ni kawaida tuu!
 
◇Mwanaume wa kisukuma ni ngumu kutangulizana na mkewe either mmoja aanze kutoka mwingine aje kwa nyuma ala kuondoka kwa pamoja hio sahau
◇ Ukienda usukumani chakula kizuri kama nyama ya kuku, mapaja na viongo vingine vitamu hupelekwa kwa wanaume
◇ wanaume kula na wanawake ni marufuku. Wanawake wanakula kivyao na wanaume kivyao
◇Mwanamke lazima uanze kumsalimia mmeo tena kwa kisukuma hhuna kiswahili
◇ wageni wakija lazima uwasalimie kwa kisukuma
◇ Mkipangwa kula na wageni kwa mtoto huruhusiwi kuchukua nyama kabla ya mgeni
◇ kwenye kuitna sasa mwanaume wa kisukuma hawezi kukuita jina lako badala yake atakuita ng'wanajuma 😁(maana ake mtoto wa juma)
Naishia hapo
Umesahau wanaune wana msimamo wamenyooka kama rula wakisema hawarudii mara mbili na wanapiga sana wake zao
 
Wasukuma sisi kwenye kura daah kiboko, nimejionea kijijini uko butundwe daah kiboko wale wanaume wanakula asee,,,kila mgeni akitembelea boma anapikiwa ugali mkubwa aijarishi amefika mda gani atapikiwa tu,,,na wana umoja balaa,,,,suala la bajeti kwa wasukuma sisi ni mwiko,hakuna bajeti ,,hakuna kupima eti unga wa ugali ahahah ni kuchota,,,na kikibaki hawali viporo wanamwaga wanapika kingine
 
Wanyamwezi nao.
◇Mwanaume wa kisukuma ni ngumu kutangulizana na mkewe either mmoja aanze kutoka mwingine aje kwa nyuma ala kuondoka kwa pamoja hio sahau
◇ Ukienda usukumani chakula kizuri kama nyama ya kuku, mapaja na viongo vingine vitamu hupelekwa kwa wanaume
◇ wanaume kula na wanawake ni marufuku. Wanawake wanakula kivyao na wanaume kivyao
◇Mwanamke lazima uanze kumsalimia mmeo tena kwa kisukuma hhuna kiswahili
◇ wageni wakija lazima uwasalimie kwa kisukuma
◇ Mkipangwa kula na wageni kwa mtoto huruhusiwi kuchukua nyama kabla ya mgeni
◇ kwenye kuitna sasa mwanaume wa kisukuma hawezi kukuita jina lako badala yake atakuita ng'wanajuma 😁(maana ake mtoto wa juma)
Naishia hapo
 
Back
Top Bottom