inaonyesha hujui unachokisema!.kuridhisha mtu na kuanzisha familia ni sawa?! unajua kuwa kuna mda maalumu wa mwanamke kubeba uja uzito?Kama ndo hivyo kwamba alie na miaka mingi ndo ana experiance ya kuridhisha mwanamke basi na vilevile kwa mwanamke mwenye miaka mingi anaweza mridhisha mwanaume zaidi so ni haki tena sana wachague hata kama umri umeenda.
unachakaa mpendwa. tena uchi wa mwanaume uliochoka unakuwa mbaya mara mbili zaidi. unaweza kuwa ndo mara yako ya kwanza kusikia coz nshakuambia wanawake sie tu wavumilivu, mnatusema mara tunanuka nyuchi tunatulia tu wakati na nyie mnanuka kibeberu,shahawa zenu zinanuka, mnachakaa uchi ila tupo tu tumetulia tunawaangalia mnavyotulalamikia humu mnasahau yenu.unajua we ndo mtu wakwanza kuniambia uchi wa mwanaume unazeka dada nakuhakikishia uchi wa mwanamke uliochoka ni mbaya hata kwa kuutazama tu
najua ndio kuna mda maalumu wa kubeba mimba,inaonyesha hujui unachokisema!.kuridhisha mtu na kuanzisha familia ni sawa?! unajua kuwa kuna mda maalumu wa mwanamke kubeba uja uzito?
dada nakuliza ulishawahi kuwona uchi uliochoka au kuzeka kwa kusuguliwa sanaunachakaa mpendwa. tena uchi wa mwanaume uliochoka unakuwa mbaya mara mbili zaidi. unaweza kuwa ndo mara yako ya kwanza kusikia coz nshakuambia wanawake sie tu wavumilivu, mnatusema mara tunanuka nyuchi tunatulia tu wakati na nyie mnanuka kibeberu,shahawa zenu zinanuka, mnachakaa uchi ila tupo tu tumetulia tunawaangalia mnavyotulalamikia humu mnasahau yenu.
ooh! nimekuelewa unamaanisha kukoma kwa hedhi sio? sawa ipo, ila unajua na nyie mnakoma pia?? usitegemee mwanaume wa 45year akafanya kitu ataishia kuhema tu,ni vile tu sema vile visperm vikitoka bado zina kanguvu ya kurutubisha yai ila sasa wataalamu wanasema mtoto kichwani zinakuwa hazimo kihivyooo coz sperms zishachokanajua ndio kuna mda maalumu wa kubeba mimba,
nikuulize akishabeba mimba?
Kaka badilisha mwelekeo wa satellite yako ligeukie upande mwingine; huko unakowatafutia siko; utawapata tu ambao hawasumbui 😉wanatusumbua sana huku mtaani dada yangu! utasikia nataka sherehe ya Harusi yangu nataka iwe ya mfano! mfano upi wakati umetumika mpaka umechoka!
You know what?!! You could be right!! In fact, You are right! As I always say, ukisikia "yalaaaah"......you seem to be very bitter to women, why?
usituambie nothing's personal wakati inaonekana una ishu na hawa watu
kwa hiyo mtu akiweka hata vigezo gani, au akiwa hata na ndoto za kuwa na ndoa ambayo haiwezekani how is this your business?? when you say nothing is personal it means it's your business
but in this case it's not
Watoto wa yule mzee wa Mikocheni wanamatatizo ya akili?! utafiti wako huo feki!ooh! nimekuelewa unamaanisha kukoma kwa hedhi sio? sawa ipo, ila unajua na nyie mnakoma pia?? usitegemee mwanaume wa 45year akafanya kitu ataishia kuhema tu,ni vile tu sema vile visperm vikitoka bado zina kanguvu ya kurutubisha yai ila sasa wataalamu wanasema mtoto kichwani zinakuwa hazimo kihivyooo coz sperms zishachoka
siriazi nakuambia 45 mwanaume kwisha habari yakeWatoto wa yule mzee wa Mikocheni wanamatatizo ya akili?! utafiti wako huo feki!
subiria wakue na hapohapo changanya na 49% ya mkemiajibu swali.
Umeandikaje?wewe wasema....nilichokisema nimekiandika