hahahahahahah that's the way of covering up your pain and weakness kasome article ya
Mtambuzi unachojaribu wewe hapa ni kucover udhaifu wako kwa kutafuta pesa kwa nguvu ili pesa zifidie pale ulipokosa yaani wewe ukiwa na pesa basi unaona kama umefill gap la kukosa a healthy realationship,moja ya dalili za kutojiamini pole braza hata uwe trilionea still utahitaji a healthy relationship ambayo sijui ka utakaa uipate kwa hizo tabia zako,labda kwa kuwa una pesa ununue relationship na uhakikishe haukumbwi na crisis hata mara moja
after all I doubt about the suffiecient money flow you said kwani they say mwenye kitu kamwe hajitapi they say masikini akipata .................. malizia hapo mkuu utaijua position yako.