Design simple za Nyumba vyumba 2

Design simple za Nyumba vyumba 2

Simple design ya vyumba viwili,
1. masterbedroom size 3.0x4.5m,
2. Bedroom 3.0x3.5m,
3. sitting/lounge 4.3x4.7m,
4. dinning 2.6x3.0m,
5. kitchen 2.3x3.2,
Kuna stoo, public toilet, & bathroom.
Plot ya 20x20 nyumba inakaa vizuri na parking lot.
Makadrio ya gharama za ujenzi (BOQ) upewe tu funguo uendelee na life ni 50 Milioni.

Mkuu hebu nisaidie maana hivi vipimo vya square meter huwa vinanichanganya kidogo...je huwa mnazidisa urefu na upana au kwa case kama ya hapo juu huwa mnatafuta total ya square meter ya kila chumba(59.37)... naomba unipe square meter za msingi tu wa hiyo nyumba hapo juu.
 
Ndio lakin kwa sasa naendelea na ujenz.nitakuchek ck nyingine
 
Mimi ninataka ramani ya vyumba vitatu ni bei gani?
 
Miti nje ya nyumba ingefaa ile ya matunda
 
Rangi za kuta ziweje!? Angalia udongo wa eneo husika ukoje!
 
Back
Top Bottom