Design simple za Nyumba vyumba 2

Design simple za Nyumba vyumba 2

Ofcoz jamaa katudhalilisha sana, ina maana hajui kama Architects na Cartographers tupo hapa hapa Tanzania? Tatizo tumezoea kila kitu ni mpaka mzungu tu.

Kazi nzuri mtoa mada japo nakushauri utoe sample tu ila usiweke Ground floor plan na "measurements" zake kama lengo ni matangazo tu, nadhani umenisoma hapa namaanisha nini

Hii vema sana, asante sana.
 
Nyumba ni nzuri sana ukiweza kupata Fundi Wa kuweza kujenga km inavyoonekana. Siyo mtu anajenga jumba kubwa anamaliza kiwanja chote bila kuacha hata sehemu ya kupumzikia nje.

Watanzania bwana hela zenyewe hamna mnataka kupumzika..kula ugali nenda kulala ndani unapumzika umefanya kazi gani ..mxxxx
 
Two in one kwa wapangishaji
 
Three bedrooms + study room
 
Mm ushari wangu naona sio mbaya ukaweka na ukubwa (urefu*upana) wa eneo itakapo fiti hiyo ramani husika ili tujipime na ukubwa wa viwanja vyetu hivi vya hatua.

Imewekwa pale pitia tena
 
ahahahahaa...nisamehe nahisi kama nitakuwa nimekukwaza.....kuna sehemu kubwa tuu umeikosea...wealth can be aqcuired through 2 main ways
1- self made
2- inheritance
njia ngumu kuliko zote kuwa tajiri ni ya kwanza ingawa pia ni njia ambayo kila aliyeupata utajiri kwa njia hiyo aliheshimiwa sana.

Njia ya pili ni rahisi ila wengi hawaijui wamejazana kwenye njia ya kwanza.......utajiri kwa kurithi. Ndio, mungu alivyotuumba alitupatia kila mtu kipawa au uwezo wa ziada wa kuzaliwa nao unaoweza kumfanya akabiliane na changamoto zozote zinazojitokeza mbele yake.

Dada sahivi tumia kile alichokupa mungu kitakufaa na utafanikiwa...tumia urithi wako uwe tajiri ufanikiwe.

Hakika, hii itamsaidia. Jambo muhimu ni Kuwa Imani
 
Back
Top Bottom