Dereva anaharibu mahusiano yangu

Dereva anaharibu mahusiano yangu

Wadau mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, nina girlfriend wang anaitwa janet ambaye ni nesi nampenda sana ila kuna dereva wa bac anatembea nae na kumpa kila kitu, chakula malazi na mavaz, ila kila nkimuuliza anasema cyo kwel yeye ananipenda mimi tena kwa dhat kabisa, wakat jion bac linavoenda madibila anampikia chakula na kumpelekea stend mafinga, wadau nifanyaje kwan naumia sana kwa kuwa nampenda sana janet.

Dogo ukita mapenzi ya dhati kutoka kwa mwanamke fanya mambo yafuatayo_...1.mpe hela 2.mpe hela 3.mpe hela nyingi 4.wewe mpe hela tu baaaaasi 5.mpe hela za kutosha.....r.i.p Ngwair.
 
tafuta Pesa wewe kijana, anayekula nyama ni mwenye kisu shauri yako
 
Again the same thing,wanaume wengi wa siku hizi mnashindwa kabisaa kuwa na maamuzi ya nguvu as mwanaume, wewe mtoto wa kiume miaka 25 sio mdogo wewe kukaa na kuumia mwenyewe bila mpango, kama now unaumizwa hivyo je ukimuowa utaweza ku control family kweli??

Kaa chini amua moja na mwambie bana hapana ni hivi na hivi na naomba ubadilike la sivyo utasumbuka sana

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Na wewe ndo upike fudi upeleke eboo....
 
Anatumia kichwa cha chini kufikiria maana kila tatizo ni yeye na yote ni ya kimahusiano!
Namshauri awe na akaunti nyingi ili kuepuka aibu kama hizi!
ANAZINGUA!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Yaani kwa jinsi ulivyojiliza liza hapa umeonsha dalili zote za kustahili kumegewa! Halafu hilo la jamaa kupikiwa chakula inaelekea ndo linakuuma ile mbaya!!
 
“Never allow someone to be your priority while allowing yourself to be their option.”
― Mark Twain
 
Wadau mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, nina girlfriend wang anaitwa janet ambaye ni nesi nampenda sana ila kuna dereva wa bac anatembea nae na kumpa kila kitu, chakula malazi na mavaz, ila kila nkimuuliza anasema cyo kwel yeye ananipenda mimi tena kwa dhat kabisa, wakat jion bac linavoenda madibila anampikia chakula na kumpelekea stend mafinga, wadau nifanyaje kwan naumia sana kwa kuwa nampenda sana janet.

Uliambiwa huyo ni mama yako? chagua mawili jinyonge kwakuwa ni jadi yenu au fuata ule msemo chakula kizuri kula na nduguyo dereva wa bac la sivyo hayo yote huyawezi sajili mwingine as soon as possible acha ushamba wa kihehe njoo usukumani nikupe mwewupe acha huyo mfupi na mweusi mwenzio
 
....hahaaa unaambiwa unapendwa kwa maneno, ila mwenzako anafanyiwa vitendo, kwa vle ww ni mwanaume usiye na maamuz baki hivyo hivyo, janet hivi sasa nimemuona analiwa denda pale mambo ya tanga.
mteme kupenda siyo kigezo cha kunyanyasika
 
Mleta mada fanya hivi, siku akipika wali fanya juu chini, tafuta m.a.v.i changanya na chakula. Yasiwe mengi sana. Halafu subiria mziki wake. Hii niliwahi kuisoma kwenye riwaya fulani.
 
"mpende akupendae asiekupenda achana nae"
 
Anayediriki kumpikia na kumpelekea chakula ndio aliye na mapenzi ya kweli nae....Wewe jiandae kupakaziwa mtoto
..Mapenzi ya dhati mbona yanaonyesha tuu hapo hata bila kuuliza?

Bora mwanamke akupende, asipokupenda jiandae kulea watoto si wako.









Wadau mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, nina girlfriend wang anaitwa janet ambaye ni nesi nampenda sana ila kuna dereva wa bac anatembea nae na kumpa kila kitu, chakula malazi na mavaz, ila kila nkimuuliza anasema cyo kwel yeye ananipenda mimi tena kwa dhat kabisa, wakat jion bac linavoenda madibila anampikia chakula na kumpelekea stend mafinga, wadau nifanyaje kwan naumia sana kwa kuwa nampenda sana janet.
 
Pata service ya mwisho hakikisha unavuruga mpaka shadr at el munya
kisha piga chini
uchafu
 
unafanya kazi mkuu? kama ndivo basi komaa na kazi zako kwasasa huyo hakufai aisee
 
Back
Top Bottom