Dereva anaharibu mahusiano yangu

Dereva anaharibu mahusiano yangu

Hapo kuna mahusiano kweli aise...? ila nyie wengine wavumilivu sana mimi nikisikia tetesi tu napiga chini sigeuki nyuma...?
 
maisha mafupi kamanda.........heshima pesa......shikamoo usumbufu tu......


Nanyanyua mikono, natupa shida down nabanjuka tu. Ila huyo dogo mleta mada anadhalalisha wanaume!!
 
Wadau, lengo sio kumuumbua huyu mwanzisha mada, lakini kabla hujapoteza muda wako kumshauri, hebu pitia baadhi ya topic alioanzisha hivi karibuni humu jukwaani.
Habar wadau wote hum, mim ni kijana mwenye miaka 27 nataka mwenza mwenye umri wowote wa kike ili tuweze kula raha, ila lazma tupime kwanza niko mafinga iringa, cm 0765180309
Nina gal aliemaliza kidato cha4 nilitoka nae mara1 tu akaniomba namba ya cm, ilahal nilimjuza kuwa nina mke na familia, amekuwa akinisumbua sana kutaka mapenz na mim ila mi stak, sasa amefika mahal ananitishia kuniua/kafara coz antaka penz lang, advise me pliz pipoz?
Nimezaa na dem wa kihind mgololo yeye anataka anioe ingal nina mke tayar na mke wang hajui du nifanyaje?
Siamini macho yangu, kama kwel heshima, utu, aman na upendo kama vinaweza kuwa kutu tena isiyoweza futika moyoni mwangu. Rafiki yangu kala mzigo kwa demu wangu ambae ni shemeji yake na yeye akiwa na mke na watoto wawili, kweli huu ni utu wadau?

Wadau mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, nina girlfriend wang anaitwa janet ambaye ni nesi nampenda sana ila kuna dereva wa bac anatembea nae na kumpa kila kitu, chakula malazi na mavaz, ila kila nkimuuliza anasema cyo kwel yeye ananipenda mimi tena kwa dhat kabisa, wakat jion bac linavoenda madibila anampikia chakula na kumpelekea stend mafinga, wadau nifanyaje kwan naumia sana kwa kuwa nampenda sana janet.
 
Duh hilo nalo la kuja jf kuomba msaada? Piga chini
 
Wadau, lengo sio kumuumbua huyu mwanzisha mada, lakini kabla hujapoteza muda wako kumshauri pitia topic alizoanzisha hivi karibuni humu jukwaani.

Mkuu Ndibalema ahsante sana kwa kuweka mambo yake hadharani! SHAME!
 
Last edited by a moderator:
Wadau, lengo sio kumuumbua huyu mwanzisha mada, lakini kabla hujapoteza muda wako kumshauri, hebu pitia baadhi ya topic alioanzisha hivi karibuni humu jukwaani.

Mambo yote hadharani,kumbe ukilaza hajaanza jana
 
Jivue gamba huyo sio wako tena.
 
pole sana mkuu kama una mda fanya yafuatayo; andaa mtego umnase then ataacha kwa kuomba msamaha,KAMA HAUNA MDA NA UTHIBITISHO UNAO PIGA CHINI KWANI UTAKUJA KUPATA BP BUREE.
 
Wadau, lengo sio kumuumbua huyu mwanzisha mada, lakini kabla hujapoteza muda wako kumshauri, hebu pitia baadhi ya topic alioanzisha hivi karibuni humu jukwaani.

Hawa ndo wanao dhalilisha jf
 
Wadau, lengo sio kumuumbua huyu mwanzisha mada, lakini kabla hujapoteza muda wako kumshauri, hebu pitia baadhi ya topic alioanzisha hivi karibuni humu jukwaani.
Hahahahahaha!
Bora mie sijachangia chochote lol!
 
Wewe upo for physical purposes. Dereva for material purposes.

Inabidi uchunguze nani yupo for emotional purposes.
 
Mimi ndo ninae mgonga Janet. Ni demu wangu kumbe we ndo unaeniibia nitakutafuta uniambie vizuri.
 
Back
Top Bottom