Ni mwaka na miezi kama mitatu imepita. Hivyo ushauri wowote si riziki, kama ni mtoto atakuwa jamaa analeaAnayediriki kumpikia na kumpelekea chakula ndio aliye na mapenzi ya kweli nae....Wewe jiandae kupakaziwa mtoto
..Mapenzi ya dhati mbona yanaonyesha tuu hapo hata bila kuuliza?
Bora mwanamke akupende, asipokupenda jiandae kulea watoto si wako.
Wadau mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, nina girlfriend wang anaitwa janet ambaye ni nesi nampenda sana ila kuna dereva wa bac anatembea nae na kumpa kila kitu, chakula malazi na mavaz, ila kila nkimuuliza anasema cyo kwel yeye ananipenda mimi tena kwa dhat kabisa, wakat jion bac linavoenda madibila anampikia chakula na kumpelekea stend mafinga, wadau nifanyaje kwan naumia sana kwa kuwa nampenda sana janet.
kamata chakula kile wewe.
kaka mteme huyo dem fasta....unajua fasta yaan mkimbie atakuua soon.