Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,476
- 4,250
Huo ni uongo, hakuna anaeweza kukata tawi alilokalia. Kwa mantiki hiyo mtu hawezi kukadiria nikilitupa gari mtaroni mimi nitasalimika au nitaumia kidogo.
Jamaa anataka kutuletea stori kama za Ngongo na Lema.
Hivi, umeshasikia wale watu waitwao suicide bombers...