Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Huyu dereva poa sana.
Basi ilikouwa limebeba wanachama wa chama cha mapinduzi kuelekea kwenye mkutano wa hadhara likiwa limeharibika vibaya na kusababisha majeruhi kadhaa na watatu kulazwa kwenye hospitali ya Huruma, wilayani Rombo. Dereva wa basi hilo inasemekana alikuwa hataki kusikia nyimbo za CCM kwa sababu yeye ni CHADEMA.
Akawaambia atawatia mtaroni kama wataendelea kuimba, baada kuona juhudi za kuwanyamazisha zimekwama akalitia kweli basi mtaroni na kusababisha ajali mbaya.......je wadau mnaonaje ukomavu wa kisiasa wa huyu dereva?????
Kama ameumia ngoja nitafute means za kumtibia apone. He is one of the few heroes tulionao sasa.