Tunataka ushahidi, isije kuwa ni propaganda za kisiasa kufanya ajali ya kawaida ichukue sura ya kisiasa.
This is just propaganda za hawa magamba!
Kwa nini unafikiri ni "Propaganda za magamba"?
Kwa nini isiwe ni propaganda za kichaa mmoja wa "magwanda" anayetaka kutuonyesha kwamba kuna watu hawaipendi CCM kiasi cha kuingiza gari kwenye mtaro?
Kwa nini mtu afanye propaganda za kuonyesha chama chake hakipendwi?
Inawezekana. CCM wanaudhi kweli kweli kwa mambo yao ya kijinga. Inawezekana jamaa amefikiria jinsi mambo yanavyoenda nchini na bado kuna watu wanaimba nyimbo ya kusifu ujinga huu, uzalendo ukamshinda.
Mbona kunawanaojitoa muhanga kujilipua ili wafe na watu? Je! Huko si kukata tawi alilolikalia? Au unasemaje? Kama inawezekana kwa hawa, basi inawezekana hata kwa huyo dereva.Huo ni uongo, hakuna anaeweza kukata tawi alilokalia. Kwa mantiki hiyo mtu hawezi kukadiria nikilitupa gari mtaroni mimi nitasalimika au nitaumia kidogo.
Jamaa anataka kutuletea stori kama za Ngongo na Lema.
Eti kwa sababu ya ccm ndiyo aangushe gari?
Mi bado nina walakini!
Kwa jinsi tunavyoenda sasa hivi hata ukisinzia kwenye usukani, kupindua gari na kuua watu, ukitaka support kutoka kwa baadhi ya watu wasio akili bongo sema tu wewe ni wa chama fulani (usijali CCM au CHADEMA) na ulikerwa na nyimbo za chama kingine.
Hii habari suspect. Lakini kibaya zaidi ya ukweli kwamba hii habari inaweza kuwa uongo tu na propaganda mbaya, ni jinsi watu wengine wanavyoimeza jumla jumla na kuishabikia kama vile ni jambo la heri.
Bado kidogo tu na sie tutapata suicide bombers wetu kwa siasa fyongo hizi.
hivi huwezi kuwA kazi yako ni udereva......halafu mwanaccm....kisha ukamuendesha mbunge wa cdm???
Huo ni uongo, hakuna anaeweza kukata tawi alilokalia. Kwa mantiki hiyo mtu hawezi kukadiria nikilitupa gari mtaroni mimi nitasalimika au nitaumia kidogo.
Jamaa anataka kutuletea stori kama za Ngongo na Lema.
Basi ilikouwa limebeba wanachama wa chama cha mapinduzi kuelekea kwenye mkutano wa hadhara likiwa limeharibika vibaya na kusababisha majeruhi kadhaa na watatu kulazwa kwenye hospitali ya Huruma, wilayani Rombo. Dereva wa basi hilo inasemekana alikuwa hataki kusikia nyimbo za CCM kwa sababu yeye ni CHADEMA.
Akawaambia atawatia mtaroni kama wataendelea kuimba, baada kuona juhudi za kuwanyamazisha zimekwama akalitia kweli basi mtaroni na kusababisha ajali mbaya.......je wadau mnaonaje ukomavu wa kisiasa wa huyu dereva?????
Sidhani kama ni kweli ni porojo za mitaani hizi.