Balozi wa Dodoma
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 477
- 179
alright, kwa mfano, in our country, mtu aliyesomea Port Operations, atawekwa kitengo gani pale Immigration?
kwa sababu kozi ya Port Operation ina relate kabisa na masuala ya port and marine kuna posibility kubwa sana ya kum place uyo mtu kufanya kazi kitengo cha marine immigration yaani uhamiaji wanao fanya shughuli zao ndani ya mipaka iliyopo ndani ya maji..
Kwa mfano mipaka ya nchi na nchi inayotenganisha nchi moja na nyingine kupitia ziwa,bahari n.k
wapo maafisa uhamiaji wa namna hii wengi sana kule nyasa,na mpakani mwa tz na ug kupitia kagera.
Pia wapo mtwara wengi tuu bahari ya hindi road to mozambique n.k