Depo inakuaje huko CCP Moshi

Depo inakuaje huko CCP Moshi

MTOTO KITAA

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
245
Reaction score
116
wadau kama kuna polic atupe picha ya chuon kuna nini huko tutakutana napo, ni mafunzo makali, au ndio hivyo mdembwedo.
 
wadau kama kuna polic atupe picha ya chuon kuna nini huko tutakutana napo, ni mafunzo makali, au ndio hivyo mdembwedo.

1. Usiwe na mazoea na mademu wakali,
utaishi kwa taaaabuuuu mno hapo mahala,

2. jifunze kupiga pass kwa ulanga, suruali ukiisimamisha isimame yennyewe bila kushikiliwa.

hayo ni baadhi ya ninayojua polisi mimi!
 
1. Usiwe na mazoea na mademu wakali,
utaishi kwa taaaabuuuu mno hapo mahala,

2. jifunze kupiga pass kwa ulanga, suruali ukiisimamisha isimame yennyewe bila kushikiliwa.

hayo ni baadhi ya ninayojua polisi mimi!

Ni kweli mzee?

Jeshi la Tanzania au?
 
Mimi sio askari ila nipo jirani na CCP mkuu hapo jiandae kupiga tarumbeta kwa sana kuamka sakumi ni kawaida na kushinda juani mkipiga tarumbeta na kuimba
 
1. Usiwe na mazoea na mademu wakali,
utaishi kwa taaaabuuuu mno hapo mahala,

2. jifunze kupiga pass kwa ulanga, suruali ukiisimamisha isimame yennyewe bila kushikiliwa.

hayo ni baadhi ya ninayojua polisi mimi!

Mkuu umezunguka saana,azingatie nidhamu na utii,usafi na kazi.
 
ukikutwa na kosa lolote ni kwenu...simu acha nyumbani.

by raia mwema
 
Mkuu..Ejay...ina maana yani kosa lolote unafukuzwa..sass hiko chuo atabaki mtu kweli mna nijuavyo ni kuwa hakuna binadamu asiye kosea..labda utuambie makosa specific ambayo mtu akikutwa nayo yatapelekewa kuondolewa mafunzoni ni sio kosa lolote..usiwe too general kuwa specific kuwasaidia watu..then wape techniques za ku win mafunzoni ili wafanikiwe...mbona huwa tunawapa wadogo zetu mbinu za kusoma mashuleni ili watoboe mitihani..so aje mtu atoe orientation theoritically aeleweke na sio majibu ya mkato
 
Kwa sababu ni kazi yakutumia nguvu kuliko akili kwa hiyo jiandae kimwili zaidi...
 
Akili ni 1%nguvu 98%
Unaijua nyakunyaku wewe?au funga fungua kwa wakati wako
 
kuwa na pumzi, piga push up, kukimbia, kuruka kichura mengine utayakuta mle muhimu kuwa na pumzi...

"majeshi si lelemama haifai kubembelezana x2" bila kusahau huo wimbo jaribu kuimbaimba ila utamaliza tu usihofu na utakula bata after that training
 
Sikia jamaa ukitaka ufuzu mafunzo fwata sheria za chuo,ratiba zao kikubwa nidhamu
 
Back
Top Bottom