Deogratius Kisandu nimetoka rumande/mahabusu leo

Deogratius Kisandu nimetoka rumande/mahabusu leo

Mkuu pole sana just hamia ktk uislam tutakufundisha kuishi vzr na kuheshimu mamlaka maana inaonyesha hueshimu mamlaka wewe
 
Pole Sana Kisandu Ukiwa Upinzani Usiogope Kuwekwa Ndani Kwa Utawala Huu Unao ongoza Kwa Double Standard.
 
Siku Kisandu atakapo anza kueleweka anapigania nini tutakuwa tumechelewa kumuelewa... ila jambo la kushangaza ni serikali yetu ina deal na maswala ya kupuuzi puuzi na kuyaacha ya maana kama la Bashite.
 
Kajifunze kwa KAMANDA LEMA... utajua yakupasayo kufanya
 
Ndugu Watanzania wenzangu na binadam mnaopenda maendeleo, nilikamatwa siku ya Alhamis tarehe 24 February 2017 kazini kwangu Mkolani sekondari mbele ya Makamu Mkuu wa shule na baadhi ya waalimu na kupelekwa kituo cha Polisi Central cha Jijini Mwanza kwa mahojiano na pia siku hiyohiyo niliwekwa lupango/sello na nimekaa Sello tangu tarehe 24 February 2017 na nimeachiwa leo kwa dhamana tarehe 2 marchi 2017 jioni hii kwa msaada wa ndugu zangu.

Mungu awabariki sana kwani nimekaa Lupango kwa siku 8, huku watu wakiogopa kuniwekea mdhamana kwa vitisho kutoka kwa watu mbalimbali. Kosa langu nimetuhumiwa "KUTUMIA VIBAYA MITANDAO YA KIJAMII HASA FACEBOOK" mengi sitayazungumza leo mpaka kesi itakapoanza lakini kiuhalisia hakuna kesi zaidi ya uonevu.

Aidha simu zangu zote mbili hazitakuwa hewani(Vodacom na Tigo) zimeshikiliwa kwa uchunguzi zaidi, poleni mtakaonitafuta bila mafanikio, pia ni njia ya kunifanya NITAFAKARI UPYA na kuanza upya. Maana naweza kurudishwa tena muda wowote kwa kesi nyingine ambayo sijajua.

Aidha nimejifunza mambo mengi sana nilipokuwa Lupango na pia nilipata ushirikiano mzuri sana na mahabusu wenzangu na kujua mengi sana, ambayo yatakuja kwenye kitabu changu "MAISHA YA MAHABUSU" ambacho nitakuwa naishauri Serikali kubadili mazingira ya mfumo wa selo na kufanya maboresho, yote haya yatafanyika kwa nia njema ili kuijenga Serikali yetu ya awamu ya tano. Ni lazima tuikosoe Serikali kwenye mambo mhimu ili iweze kujirekebisha na kufanya upya.

Deogratius Nalimi Kisandu
Mtemi Kiongozi wa chama tarajiwa cha ACA.
2 march 2017
.....
.....Ngika pole sana Sebha akojiwe
 
Ndugu Watanzania wenzangu na binadam mnaopenda maendeleo, nilikamatwa siku ya Alhamis tarehe 24 February 2017 kazini kwangu Mkolani sekondari mbele ya Makamu Mkuu wa shule na baadhi ya waalimu na kupelekwa kituo cha Polisi Central cha Jijini Mwanza kwa mahojiano na pia siku hiyohiyo niliwekwa lupango/sello na nimekaa Sello tangu tarehe 24 February 2017 na nimeachiwa leo kwa dhamana tarehe 2 marchi 2017 jioni hii kwa msaada wa ndugu zangu.

Mungu awabariki sana kwani nimekaa Lupango kwa siku 8, huku watu wakiogopa kuniwekea mdhamana kwa vitisho kutoka kwa watu mbalimbali. Kosa langu nimetuhumiwa "KUTUMIA VIBAYA MITANDAO YA KIJAMII HASA FACEBOOK" mengi sitayazungumza leo mpaka kesi itakapoanza lakini kiuhalisia hakuna kesi zaidi ya uonevu.

Aidha simu zangu zote mbili hazitakuwa hewani(Vodacom na Tigo) zimeshikiliwa kwa uchunguzi zaidi, poleni mtakaonitafuta bila mafanikio, pia ni njia ya kunifanya NITAFAKARI UPYA na kuanza upya. Maana naweza kurudishwa tena muda wowote kwa kesi nyingine ambayo sijajua.

Aidha nimejifunza mambo mengi sana nilipokuwa Lupango na pia nilipata ushirikiano mzuri sana na mahabusu wenzangu na kujua mengi sana, ambayo yatakuja kwenye kitabu changu "MAISHA YA MAHABUSU" ambacho nitakuwa naishauri Serikali kubadili mazingira ya mfumo wa selo na kufanya maboresho, yote haya yatafanyika kwa nia njema ili kuijenga Serikali yetu ya awamu ya tano. Ni lazima tuikosoe Serikali kwenye mambo mhimu ili iweze kujirekebisha na kufanya upya.

Deogratius Nalimi Kisandu
Mtemi Kiongozi wa chama tarajiwa cha ACA.
2 march 2017
Hii mbona kama ni Riwaya ya kutunga?

Nakushauri upambane na ualimu, anzisha tuition ili kuongeza kipato. Chama cha siasa hakianzishwi na chip popularity kama hizi.
 
Mkuu, acha kutangaza chama ambacho bado hakijasajiliwa. Kwa nini usisajili kabisa ili chama chako ukitangaza kwa uwazi zaidi???
 
Ndugu Watanzania wenzangu na binadam mnaopenda maendeleo, nilikamatwa siku ya Alhamis tarehe 24 February 2017 kazini kwangu Mkolani sekondari mbele ya Makamu Mkuu wa shule na baadhi ya waalimu na kupelekwa kituo cha Polisi Central cha Jijini Mwanza kwa mahojiano na pia siku hiyohiyo niliwekwa lupango/sello na nimekaa Sello tangu tarehe 24 February 2017 na nimeachiwa leo kwa dhamana tarehe 2 marchi 2017 jioni hii kwa msaada wa ndugu zangu.

Mungu awabariki sana kwani nimekaa Lupango kwa siku 8, huku watu wakiogopa kuniwekea mdhamana kwa vitisho kutoka kwa watu mbalimbali. Kosa langu nimetuhumiwa "KUTUMIA VIBAYA MITANDAO YA KIJAMII HASA FACEBOOK" mengi sitayazungumza leo mpaka kesi itakapoanza lakini kiuhalisia hakuna kesi zaidi ya uonevu.

Aidha simu zangu zote mbili hazitakuwa hewani(Vodacom na Tigo) zimeshikiliwa kwa uchunguzi zaidi, poleni mtakaonitafuta bila mafanikio, pia ni njia ya kunifanya NITAFAKARI UPYA na kuanza upya. Maana naweza kurudishwa tena muda wowote kwa kesi nyingine ambayo sijajua.

Aidha nimejifunza mambo mengi sana nilipokuwa Lupango na pia nilipata ushirikiano mzuri sana na mahabusu wenzangu na kujua mengi sana, ambayo yatakuja kwenye kitabu changu "MAISHA YA MAHABUSU" ambacho nitakuwa naishauri Serikali kubadili mazingira ya mfumo wa selo na kufanya maboresho, yote haya yatafanyika kwa nia njema ili kuijenga Serikali yetu ya awamu ya tano. Ni lazima tuikosoe Serikali kwenye mambo mhimu ili iweze kujirekebisha na kufanya upya.

Deogratius Nalimi Kisandu
Mtemi Kiongozi wa chama tarajiwa cha ACA.
2 march 2017
Dah we jamaa kwa sinema uko vizuri...sawa tunasubiri hicho kitabu..
 
Back
Top Bottom