Deo Mwanyika ajiuzulu ACACIA Mining

Ina maana kufunguka kwangu ntakuwa nawasanua jamaa basi ngoja niishie hapa
Teh teh

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kuna watu wamekalia roho mbaya na ushamba tu,duniani watu wanalipwa kwa competency na efficiency ,waende tu hapo kenya waone watu wanavyolipwa. Skills zinalindwa kwa pay na sio maneno ya uzalendo feki.
 
Huyu jamaa alikuwa anachukua mpunga mrefu balaa,alikuwa ni bonge la CEO,kama alivyo Nehemiah Mchechu wa National housing,natumaini Papaa Mkulu atawaona awape cha kufanya,ni zambi kubwa,kuachia "Best brain" kama hizi zipotee,
Huyu jamaa ni bora achukue U CEO wa Voda,ili yule mama wa Kenya asitie maguu hapa Bongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wamekalia roho mbaya na ushamba tu,duniani watu wanalipwa kwa competency na efficiency ,waende tu hapo kenya waone watu wanavyolipwa. Skills zinalindwa kwa pay na sio maneno ya uzalendo feki.
Uzalendo feki ni pale unapokua unahamaisha watu walipe kodi halafu wewe haulipi kodi yani huo ni unafiki wa kiwango cha PhD feki ya korosho hahahaha watasema katiba katiba vifungu kibao vya katiba vimevunjwa akilipa kodi hapo kweli watu wataamini ni mzalendo sio uzalendo blah blah..ila kodi isikie tu kwa mwenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…