glory to yhwh
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 1,019
- 1,411
Dah mmenichekesha
Tena mkome kuwatukana walimu.unayemdharau sasa bila yeye usingekuwa na mshahara huo mkubwa.kitwanga weweJaman mbona mnawashambulia walimu hvyo mambo ya mishahara kiduchu inahusiana vipi hapa?
Hii KIMBA itakuwa wilaya mpya katika mkoa wa Mwanza!Wilaya ya KIMBA iko Mwanza vile?
Kwa summary DEO wa Kwimba akiwa katika kazi zake za kawaida shuleni kwao. Afisa mmoja kapewa Cheo cha uDEO wa Kwimba? Je umeelewa wakati yeye akijijua ni DEO naakiendelea na kazi za ujenzi wa Taifa. Hilki tukio kalilinganusha na 'UMAFIA"jeumeelewa?sijaelewa