Kuna half truth na half false. Yapo ambayo yangefanyika sawa uchumi wetu ungekua mbali zaidi. Waliokua madarakani ni CCM. Hata Kingunge anajua haya.
Wakufanya ilikua CCM
Upinzani kuna wakati hata mimi nawaona kama wanaharakati. Sijui tumekosea wapi ila yako mengi.
Jana bungeni walizungumzia mtu kujitoa katika mifuko ya hifadhi ya jamii Kama fao. Wakati. Wakati kujitoa ni kayakimbia mafao. Mfano wa mafao ni pension ya uzeeni, elimu kwa Watoto, survivors benefit, invalidity benefit, funeral grants etc. Anaejitoa anaishi kesho yake leo no longer eligible for the benefits. Ni fao au kutumia hifadhi vya jamii Kama SACCOS?
THEN. tukijiuliza sera za uchumi za vyama vyetu sioni wakijipambanua utofauti wao na CCM. Hata kijamii sielewi jamii tunayotaka kujenga.
Natambua kukemea ufujaji wa mali za ummah, kutetea haki za binadamu, mazingira, na democrasia.
Ni mambo muhimu lakini hata wanaharakati wangetosha.
Shida nyingine usafi tunao utaka hatuna na hatukuwahi kuwa nao. Maamuzi mengi yanaangalia faida za kisiasa kwanza hata kwa upinzani mwananchi anatumika tu.
False hapo ni jitihada nilizotaja japo hata wanaharakati wangeweza na wanafanya.
HAYA FAIR COMMENT MSIWEKE MISIASA YENU TENA.