tatizo la vijana ni kupandikizana ujinga tukipewa fursa hatuzitumii,jamaa anasema haoni tatizo ridhiwani,januari na mgimwa wakiwa wabunge,sumu ya kubebwa ipo vyama vyote;pia jamaa amesisitiza kuwa yeye sie mwanasiasa, je wana jamvi huyu kijana mwenzetu mna mweelewa?
huyu kachanganyikiwa....mlifuata mtu badala ya kufuata chama sasa ona mnavyorugikiwa na akili