fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 355
- 51
Mwanafunzi wa kijaluo alipatiwa mtihani wa insha ilionza hivi
nilipofika nyumbani nilimpata mama amepigwa na butwaa na bumbuwazi.....
Mwanafunzi akaendeleza....kitu ya kwanza naenda kwa kina butwaa..namtwanga butwaa natwanga yeye tena lakini siuwi yeye sababu yeye ndio tapeleka mimi kwa bumbuwazi niulize yeye kwanini walipiga mama yangu.
nilipofika nyumbani nilimpata mama amepigwa na butwaa na bumbuwazi.....
Mwanafunzi akaendeleza....kitu ya kwanza naenda kwa kina butwaa..namtwanga butwaa natwanga yeye tena lakini siuwi yeye sababu yeye ndio tapeleka mimi kwa bumbuwazi niulize yeye kwanini walipiga mama yangu.