Denti anayedaiwa kubakwa na Kapuya huyu hapa

Hapa kilichodhahiri ni kuwa haijalishi kama Kapuya alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na huyu mwanamke au la, kilichodhahiri ni KUWA MWANAMKE HUYU NI TAPELI. Hilo linadhihirika kwa kuwa na majina mengi, kwa nini atumie majina tofauti kwa watu tofauti. Pili kitendo cha kumtapeli Salma mpaka kufikia kuwekwa ndani nao ni ushahidi tosha kuwa huyu mwanamke ni tapeli na ni mwizi. Na tatu, kwa nini adanganye umri wake? Amefanya hivyo makusudi ili kufanikisha malengo yake.

Fikra zangu zinanituma kuwa Kapuya aliwekewa mtego na huyu tapeli na kunaswa. Fundisho kwa Kapuya ni kuwa anastahili kuwa mwanagalifu katika nyenendo zake au kujitafakari maana mara nyingi binadamu hutegwa na kunaswa kwenye udhaifu wake. Lakini pia jamii ni lazima ikemee na kuchukua hatua kali dhidi ya mabinti tapeli kama huyu. Tusiendekeze na kushabikia utapeli wa kutumia usichana.
 
I honestly don't know what to make of this......ndo maana sijarukia kuhitimisha chochote. Manake it doesn't make sense kabisa. And the more I try to make sense out of the nonsense, the more confusing it gets. Bottom line, sidhani kama kuna kesi yoyote hapa.


Global Publishers

Hii ishu si ya kukurupuka, maana I can sense something fishy around.
Yawezekana hawa ni wapenzi walioamua kuchafuana, though it doesn't make sense a 50+yrs man in relationship with -25 girl.
Hata kama anachafuliwa, Kapuya alijitakia. BAbu mzima hujiheshimu, kazi kuchza disco vumbi na vijukuu vyako. umejidhalilisha wewe na famiulia yako. Shame upon U Kapuya!
 
pole kapuya.nilijua tu tangu mwanzo huu ni mchezo lakini huu ndio mfumo wa siasa zetu za tanzania kuchafuana tubadilike
 
mmh hata kama raha ya kachumbali nyanya! Eeh lakini sio nyanyachungu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Yeah I am starting to feel really afraid for the alleged rape victim...I suspect there is some sinister plan afoot and somebody somewhere is starting to feel really scared! I have also very strong doubts about the girl appearing in the video; her incoherent behaviour, her unreasonable outbursts and her senseless claims...it is all not typical of a victim of molestation in whatever form. It is also doubtful to me that with her body language, physical appearance and tantrums, the honourable Professor could have fallen prey to her antics that easily. No, there is something amiss and we may never know who the real victim ever was; she might very well just disappear into thin air like she never existed, wouldn't that be strangely convenient for...!

Mkuu uko sahihi kabisa. Hii ni njama mbaya sana inaandaliwa na kama kawaida yetu mtoto muhusika atapotezwa nasi kwetu yatakuwa yamekwisha. Ni wajibu wa Tanzania Daima kutujia na ushahidi wa jee huyu binti anayeonyeshwa na SHINGOGO na vigazeti vyake ndiye yule aliyewalalamikia kuwa katendewa ndivyo sivyo?
Nao wasipofanya hivyo watakuwa wamechangia katika kuyaweka maisha ya victim hatarini kutoweka.
 
Huyu mtoto lazima atafutiwe mwanasheria makini kama Lissu, Mabere nk kumpatia guidance ya kisheria. Hao waandishi wa habari wangeenda kumuhoji hayo maswali Kapuya kwanini iwe namba yake tuu iliyochafuliwa? Huyo Dr. Kimei naye ni mchafu, ndani ya week moja jina lake limetajwa katika scandal mbili tofauti. Kimei na Kapuya wote ni dudu moja

Kwani Kimei naye yupo gridi ya Taifa?
 
Yeah I am starting to feel really afraid for the alleged rape victim...I suspect there is some sinister plan afoot and somebody somewhere is starting to feel really scared! I have also very strong doubts about the girl appearing in the video; her incoherent behaviour, her unreasonable outbursts and her senseless claims...it is all not typical of a victim of molestation in whatever form. It is also doubtful to me that with her body language, physical appearance and tantrums, the honourable Professor could have fallen prey to her antics that easily. No, there is something amiss and we may never know who the real victim ever was; she might very well just disappear into thin air like she never existed, wouldn't that be strangely convenient for...!



As they say....the majority of our politicians are simply "wasanii" and are just there to ruin others life. A case in point, look at machangu wa UDSM at Mabibo/Mlimani hostel, who are the clients there? It is believed that 98% of the clients are viongozi of this country (politicians). Don't believe what I say but I urge you to go there one day and discover it for yourself, you will be shocked. University students are busy day in day out aborting unborn children of our viongozi. Outside the dormitories mifuko ya Rambo are full of dead fetuses and suspected mothers will be talking without care that kiongozi fulani alitaka uroda ila hataki mtoto, sitaki mtoto asiye na baba. Then akipata unafuu, she's back fu.cking another kiongozi without protection. I won't be shocked if the real girl/victim is hidden somewhere and this girl we are led to believe is a victim is just another actor wa live bongo majanga/movie.
 
huyu alie kwenye hii clip kwa jinsi alivyo defensive inaonekana ndie kama sie kwa nini awe so defensive kwa kuwaambia hao jamaa wasimundoe kwenye mada?
from a look anaonekana ni professional ..... na naamini chama chake kipo pale Mwanza villa park, siku moja niko pale villa park mmoja akaja ambaye anajidai kuponda wale mambinti waliozagaa pale na anasema anasoma shule fulani pale na nyumbani kwao geti sana anatamani atoke siku moja kwenda disco ila kwa vile mwanafunzi hana hela. nikimuangalia mzuri sana, sana shape kali kila kitu nikajua huu mtego. nikamrusha kabla sijaingia mzima mzima
 
Acha utoto NN.huyu wa youtube ni mwingine amenunuliwa na kapuya ili ajisafisishe.mwambie hakatwi mtu hapa!!

Thibitisha kuwa huyu wa YouTube ni mwingine na kwamba amenunuliwa na Kapuya ili ajisafishe. Thibitisha kwa kumleta huyo mwingine ambaye ndiye.
 
Dahhhh......yaani natamani kweli kuwa mbunge ama kiongozi hapa Tanzania, mbona mademu watanikoma maana nitahakikisha kazi sifanyi ila ni ufuska tu full mzuka hata Diamond hatonipata. Nikiugua napakiwa ndani ya ndege Indiaaaaaa ama Afrika kusini kuwekewa damu mpya na kupikwa upya, kweli uongozi bongo raha tupu.
 
If you don't care then don't be running your mouth like you know something. Just shut the fcuk up.

kapuya también tu madre, si le molesta, kapuya escándalo de su ya está así, tan solo espere a que venga y lo que., ja jajaja jaja.,, lo siento amigaaaa.,,
 
Back
Top Bottom