Denis Nkane ni Bora kuliko Ikangalombo

Denis Nkane ni Bora kuliko Ikangalombo

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,778
Reaction score
36,005
Huyo Ikangalombo amekuja Yanga kubana nafasi tu za vijana wetu akina Nkane

Nkane ni mzuri zaidi ya Ikangalombo

Nkane ana skills za football
Nkane ana speed
Nkane ana akili
Anajua ku cut in kuongeza namba ya viungo na washambuliaji inapotakiwa,
Ikangalombo anakimbia kama amekatwa kichwa au kuku mwenye kimeta

Nkane ana fitness, Ikangalombo yupo legelege labda sababu hajitunzi labda anakula kilevi au kungonoka

Nkane ana ku offer kitu kwenye kushambulia na kujilinda kuliko Ikangalombo ambaye hashambulii Kwa uhakika na ni dhaifu kwenye kulinda

Nkane ni goal getter mzuri kuliko Ikangalombo ambaye hana target

Nkane ni passer mzuri kuliko Ikangalombo, ambaye passe zake hazina macho

Coach wa Yanga mpe nafasi Nkane dhidi ya huyo Mnyamlenge au Koruna kutoka DRC
 
Dah! Ila uwezo wa Jonathan Kapela Ikangalombo na wenyewe unafikirisha sana. Ukimuangalia unaona kabisa amejaliwa mbio tu! Uwezo wa kupiga chenga sidhani kama anao.
 
Fei alianza dhidi ya Aziz.
Mzinze anaanza dhidi ya musonda.
Kule nyuma hakuna pusi ya kuwachomoa kina Baca na job mpaka kina Fred walikumbia. So kama huyo nkane ni Bora kuliko ikangamboro basi ataanza soka ni mchezo wa wazi.
 
Fei alianza dhidi ya Aziz.
Mzinze anaanza dhidi ya musonda.
Kule nyuma hakuna pusi ya kuwachomoa kina Baca na job mpaka kina Fred walikumbia. So kama huyo nkane ni Bora kuliko ikangamboro basi ataanza soka ni mchezo wa wazi.
Hakika mkuu
 
Back
Top Bottom