Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,594
- 217,983
Hivi madeni ya songesha na nipigetafu nayo yamo?
Hivi madeni ya songesha na nipigetafu nayo yamo?
Daadeki!!🤔 tutafakari.Itafika wakati mpaka bubu ataongea
Kwani PGO inasemaje??Nashauri mama aanzishe tozo ya pumzi halafu aongeze safari za nje ili kupunguza deni hili la taifa.
hao ndio wapiga kura wakubwa kama hujuiNchi imewekeza kwa machinga na bodaboda unategemea nini mkuu.
Tuambie aliacha ndege, Meli ngapi mpya, bila kusahau miradi mingapi. Kuna mda muwe mnaficha ujimga wenu.Kikwete aliacha deni la Taifa likiwa 43 trillions miaka mitano na nusu baadaye limeongezeka kwa 34 trillions!!!!!
Hebu msaidie maana naona nemo National hakuliona ama hajui maana yakeUmeelewa maana yake au unaandika tu
Tuambie aliacha ndege, Meli ngapi mpya, bila kusahau miradi mingapi. Kuna mda muwe mnaficha ujimga wenu.
Kwa taatifa yako mama yako anajitahidi kuongeza
Punde si punde tutakuwa Kama Zambia yaani tutashindwa kulipa
hoja dhaifu sana ! fuatilia vivuko na meli alizojenga Songolo Marine rafiki wa Magufuli , duni mno ! Kyela chupuchupu kuua watu , hadi sasa ziko benchi , labda wadanganye wajingaTuambie aliacha ndege, Meli ngapi mpya, bila kusahau miradi mingapi. Kuna mda muwe mnaficha ujimga wenu.
Kwa taatifa yako mama yako anajitahidi kuongeza
Magufuli aliiba sana na kukopa mno alafu akwa anadanganya kwamba tunalipa wenyewe deni la Kwa miradi ya ndaniKikwete aliacha deni la Taifa likiwa 43 trillions miaka mitano na nusu baadaye limeongezeka kwa 34 trillions!!!!! 😳😳😳😳😳
Uchumi unakuwa kwa kiwango gani? OvyoDeni kwa mwaka linaongezeka kwa 6,800,000,000,000 Trillioni 6.8 kwa maana hiyo kwa kasi hii 2025 deni la Taifa litaongezeka kwa 27,200,000,000,000 hivyo litafikia 104,710,000,000,000 trilioni 104. 7.
Msomi Mwandamizi wa Uchumi Mwigulu Nchemba anasemaje?$33. 7 bill multiply by 2,300 (conversion rate from U$ to T shs) = 77, 510, 000, 000, 000