Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,512
mimi nafikiri kuna haja ya kupeleka mswada bungeni kufuta pensheni zote za rais yeyote atakae itia hasara nchi hii itasaidia sana kuendelea kutotumia kodi zetu kumtunza mtu alieliletea hasara taifa
Naunga mkono hoja.