Danken Mbombo
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 651
- 339
Huyo aliyeiingiza nchi kwenye madeni hivo su aulizwe hezo hela zimefanya kazi gani?
..ili kulinda Amani yetu hatutakiwi kumuuliza..
Huyo aliyeiingiza nchi kwenye madeni hivo su aulizwe hezo hela zimefanya kazi gani?
mimi nafikiri kuna haja ya kupeleka mswada bungeni kufuta pensheni zote za rais yeyote atakae itia hasara nchi hii itasaidia sana kuendelea kutotumia kodi zetu kumtunza mtu alieliletea hasara taifa
Mimi sina chama ila inanitisha nipoona watanzania walio wengi wakishabikia mambo bila kufikiri. Hii nchi imeliwa na wauwaji kisha tunashabikia bila kuona ukweli kuwa watoto, wajukuu, na watoto wao watalipa huu ujinga. Watu anapodai mabadiliko ya kweli wanajua wanachodai. Tunahitaji katiba mpya tunyooshe mambo hili kundi la ccm halitufikishi mahali. Ndungai alitakiwa awe kifungoni kwa kile alichokifanya wakati wa kampeni, badala yake atakuwa spika. Hivi tutakaa tusolve tatizo lolote Tanzania? Tunajitakia shida na hili deni tutalilipa kama sio sisi watoto wetu na ajukuu zao. Tuache kushabikia na badala yake tujinusuru sisi na vizazi vijavyo.
Spika mtarajiwa alifanyaje tena tumjue mapema?
Nyerere aliwahi mshauri Marehemu Kabila rais wa DRC/Zaire kuwa asikubali kulipa madeni yaliyokopwa kipumbavu na kwa anasa za Mabutu. Nasi tz madeni yaliyosababishwa kipuuzi na mkwere bili yake ipelekwe msoga.
Hii ni hasara ya kutomaliza dozi ya Mirembe.Deni dogo sana na bado tunakopesheka.
Hakuna haja ya kulalamikia deni dogo hivyo.
Marekani ana deni la zillions kadhaa za kitanzania ba bado anakopesheka sembuse sisi.
Nasema deni bado dogo, magufuri anatakiwa kuuondoka madarakani angalau tuna deni la trilioni 120.
ni kweli kabisa tukifanya hivyo hata bungeni wataenda wazalendo tu sio kama sasa bunge limejaa wapigaji tu