Nilikuwa mbali naye kwa muda wa mwaka hivi yeye yuko mwanza na Mimi Niko Morogoro lakini tulikuwa tukikutana naye kila baada ya miezi kama miwili hivi lakini acha ajabu nimekuja kumuona wiki iliyopita nakutana na maneno eti hana hisia na Mimi tena.
Nimejaribu kumuuliza kiundani baadae kasema ashachumbiwa na jamaa tayari ashatoa mahali, na Mimi tayari tulikuwa time tam bulk Shana kwa wazazi na mimi nilikuwa Morogoro namalizia masuala yangu ya Nazi halafu mwakani tufunge nae ndoa awe mke wangu.
Yeye ni mtu wa Musoma, je wadau nifanyeje?
Na Ni kweli atakuwa kachumbiwa au ananiona Mimi sina jipya?
Naombeni ushauri wadau, matusi hayatakiwi kama huna pointi pita bila kucomment chochote.
Nimejaribu kumuuliza kiundani baadae kasema ashachumbiwa na jamaa tayari ashatoa mahali, na Mimi tayari tulikuwa time tam bulk Shana kwa wazazi na mimi nilikuwa Morogoro namalizia masuala yangu ya Nazi halafu mwakani tufunge nae ndoa awe mke wangu.
Yeye ni mtu wa Musoma, je wadau nifanyeje?
Na Ni kweli atakuwa kachumbiwa au ananiona Mimi sina jipya?
Naombeni ushauri wadau, matusi hayatakiwi kama huna pointi pita bila kucomment chochote.