Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 14
Nimetokea kumpenda binti mmoja mrembo sana. Tatizo lake anapenda sana kunipiga pini (kuniomba pesa) kiasi kwamba ninapopanga kukutana nae analazimisha nimpelekee heala au kitu na kama sikupeleka ananinunia. Juzi kaja na bonge la request anataka mtaji afungue biashara! Nashindwa kumuelewa vema huyu mwenzangu maana wote tumeajiriwa lakini yeye anataka kula vyangu tu! Nishaurini wadau, mimi sioni future na demu wa hivi!
Huyu hafai, huna future naye... Mtose kuna mademu wengi wazuri watakaokupenda for who you are.... achana na watu wanaojijali pekee