Demu anachezea Simu Wakati Wa Sex!

Demu anachezea Simu Wakati Wa Sex!

Shamkware

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2013
Posts
1,756
Reaction score
2,309
Nina nina Rafiki yangu ambae tuna shere Story nyingi na kuishi kama ndugu!

Amekuwa akinieleza jambo hili Mara kwa mara Yeye amepata Kigoli Mpya baada ya kupigwa kibuti na Demu wake wa awali,

Lakini tatizo la huyo Kigoli mpya Anasema wakiwa faragha Kwenye MGEGEDO kigoli Huyo yeye anachatI na simu tu Wala hana Habari za kukata Mauno kabisaa!?

Sasa nimeshindwa kumshauri Mimi nilitka kumwambia pengine hana maujanja ya kumsisimua huyo kigoli nikaona hapana ngoja Niulize Kwa Wana Jf,

Hili ni tatizo gani Jamani?


Naomba kuwasilisha hoja.
 
Aisee mi napita tu watakuja wadau watakwambia hiyo ni kitu gani..! maajabu hayaishi duniani.
 
Hili jukwaa tamu sana ukikereka na siasa ingia humu yaani ni raha burdan na Elimu ya kutosha.
Ebwane hebu muulize inavyosimama inakuwa ngumu kama fimbo au kama mkate ulio lowana na maji?
 
Hili jukwaa tamu sana ukikereka na siasa ingia humu yaani ni raha burdan na Elimu ya kutosha.
Ebwane hebu muulize inavyosimama inakuwa ngumu kama fimbo au kama mkate ulio lowana na maji?
Haaaa haaaaaa Kama mkate tena!
 
Nina nina Rafiki yangu ambae tuna shere Story nyingi na kuishi kama ndugu! Amekuwa akinieleza jambo hili Mara kwa mara Yeye amepata Kigoli Mpya baada ya kupigwa kibuti na Demu wake wa awali..... Lakini tatizo la huyo Kigoli mpya Anasema wakiwa faragha Kwenye MGEGEDO kigoli Huyo yeye anachatI na simu tu Wala hana Habari za kukata Mauno kabisaa!?. Sasa nimeshindwa kumshauri Mimi nilitka kumwambia pengine hana maujanja ya kumsisimua huyo kigoli nikaona hapana ngoja Niulize Kwa Wana Jf...... Hili ni tatizo gani Jamani
Naomba kuwasilisha hoja.

kwanza huyo siyo rafiki yako ni wewe mwenyewe..unaogopa tu kadamnasi ikakumaki kama ujui kuwakuna maduu
pili ulibwagwa mara ya kwanza kutokana na kutokujua kuwafikisha kilele mademu...
unajua nikuambia kitu,,,hawa wanawake wa leo usipokua na uwezo wa kumhudumia mara kwa mara kifedha basi ujue kumkuna kweli kweli..ila ata kumkuna ukishindwa afu akinusa umaskini..utaachwa kila siku

mwisho ushauri...myonyee kisawa sawa ki.ne.mbe next time uone kama atachezea simu
 
hamna kigoli hapo, hata mpira ukiingia golini goli linatambua sembuse huyo anaemuita kigoli @ anachezea simu! Hamna papuchi hapo lipo ............ tu. Mwambie akimbie bila hata kuchukua nguo.
 
1..Hicho Ni kibamia..

2.Azidishe Mautundu kabla ya Game..

3.Tatizo likiendelea..Ajifanye kakosea njia..Apeleke 0713..

😉
 
Hapo jibu lipo wazi kwani inaonesha kuwa jamaa ndiye hajui kazi na ndio maana kapigwa kibuti na yule wa kwanza. arudi jandoni akapikwe upya.
 
Kiwango chako katika kusakata kandanda kipo chini mno,fanya mazoezi kijana.....mchezaji aliyekamilika anatakiwe awe na ball balance,ball teknic,ball brain,na ball control,fanya mazoezii kijana ili uwe mchezaji mahili umenipata?
 
Sio mimi mkuu mi niko vizuri bana Wala ningekuwa mimi nisingeficha
kwanza huyo siyo rafiki yako ni wewe mwenyewe..unaogopa tu kadamnasi ikakumaki kama ujui kuwakuna maduu
pili ulibwagwa mara ya kwanza kutokana na kutokujua kuwafikisha kilele mademu...
unajua nikuambia kitu,,,hawa wanawake wa leo usipokua na uwezo wa kumhudumia mara kwa mara kifedha basi ujue kumkuna kweli kweli..ila ata kumkuna ukishindwa afu akinusa umaskini..utaachwa kila siku

mwisho ushauri...myonyee kisawa sawa ki.ne.mbe next time uone kama atachezea simu
 
Umekutana na jitu lenye stress zake ukichanganya na zako unatarajia hio solution itakuaje
 
Back
Top Bottom