Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Viongozi wengi wa chadema ni wahuni sana,ni wezi wa wake za watu!

Ni mafisadi,matapeli na malaghai!
 
Ok tuonyeshe demokrasia ya maccm, muwe mnalala kutwa kuiwaza CHADEMzA. .

Kwani inayozungumziwa hapa ni CCM au CHADEMA?!

By the way ccm ilishajulikana kwamba haina demokrasia ndio maana tukaelekeza masikio na macho yetu kwa chadema,lakini kumbe na wenyewe hovyooooo!!,
 
Ni chama ambacho nilikiamini kutokana na sera zake za kumkomboa mnyonge lakini napata shida kuendelea kuamini kuwa ni Chama cha Demkrasia,Siioni demokrasia ya chadema,Najiuliza kama wameza kuondoa kipengele cha ukomo kwenye katiba yao watashindwaje kuiondoa kwenye katiba ya nchi?
Kama wamejongezea muda wa kukaa madarakani mpaka uchaguzi wa 2015 bila uchaguzi kuna demokrasia gani hapo...alafu baadae wagombee viongozi wale wale kwenye uongozi usio na kikomo.....Chadema kwa sasa hawana tofauti na MUGABE au Museveni...wote ni wale wale kasoro tarehe...
Mungu ibariki Tanzania tuweze kupata viongozi wanafanya kazi kwa vitendo na si maneno!!

kosa ni mama yako hakutaka kutumia demokrasia kukujulisha baba yako ni nani.....kamuulize kwanini alikufanyia hivyo ya chdema waachie chadema......idiot
 
Kwani inayozungumziwa hapa ni CCM au CHADEMA?!

By the way ccm ilishajulikana kwamba haina demokrasia ndio maana tukaelekeza masikio na macho yetu kwa chadema,lakini kumbe na wenyewe hovyooooo!!,

wewe takataka wa ccm wa buku 7 leo unajifanya cdm .. hakika mnalaana mbaya sana
 
Kwanza uelewe kuwa mimi si mwanachama wa chama chochote,siko ccm,chadema,nccr nk..ni aheri ya ccm wana uwezo wa kupokezana uongozi na si kubadilisha katiba kihuni,ndugu yangu acha emotions na yakubidi ushirikishe ubongo wako katika kuamua mambo
 
Chadema lazima kichambuliwe penda usipende maana wanatafuta kuongoza watanzania na si wanachedema...acha kubwabwaja na matusi by the way hunijui wala sikujui!!kwani hujui kuwa baba yangu ndo alikuzaa kwa mama yako ambaye alikuwa hawara yake?
 
Toa hoja boss,,ukweli unauma lakini lazima usemwe tu hakuna jinsi!!
 
Mlrta uzi, hebu tuambie magamba nao wanasyahili kutumia neno gan
 
Kwani inayozungumziwa hapa ni CCM au CHADEMA?!

By the way ccm ilishajulikana kwamba haina demokrasia ndio maana tukaelekeza masikio na macho yetu kwa chadema,lakini kumbe na wenyewe hovyooooo!!,
Demokrasia ni kuwa na ukomo wa uongozi??
 
Kamwulize m/kiti wa ccm Singida Mgana Msindai yamempata yepi baada ya kutumia demokrasia yake kumfagilia Lowasa? Jamani demokrasia ni contextual, historical, dynamic, it is an ever-changing process. Acheni mawazo mgando kwamba unavyotaka wewe uropokeropoke tu hovyo halafu watu wakuchekee tu kama mazuzu. Haijawahi tokea katika historia. Linywe kama umelikoroga
 
Ni chama ambacho nilikiamini kutokana na sera zake za kumkomboa mnyonge lakini napata shida kuendelea kuamini kuwa ni Chama cha Demkrasia,Siioni demokrasia ya chadema,Najiuliza kama wameza kuondoa kipengele cha ukomo kwenye katiba yao watashindwaje kuiondoa kwenye katiba ya nchi?
Kama wamejongezea muda wa kukaa madarakani mpaka uchaguzi wa 2015 bila uchaguzi kuna demokrasia gani hapo...alafu baadae wagombee viongozi wale wale kwenye uongozi usio na kikomo.....Chadema kwa sasa hawana tofauti na MUGABE au Museveni...wote ni wale wale kasoro tarehe...
Mungu ibariki Tanzania tuweze kupata viongozi wanafanya kazi kwa vitendo na si maneno!!

kagombee magambani,wanacdm ndivyo tulivyokubaliana!
 
Kwanza uelewe kuwa mimi si mwanachama wa chama chochote,siko ccm,chadema,nccr nk..ni aheri ya ccm wana uwezo wa kupokezana uongozi na si kubadilisha katiba kihuni,ndugu yangu acha emotions na yakubidi ushirikishe ubongo wako katika kuamua mambo

wewe ni gamba tu,maana siku hizi imekuwa stile ya magamba kusema hayana chama.umelazimishwa kuipenda cdm? wewe huna tofauti na misukule mingine iliyojazana hapo lumumba fc! nyankundo mrishya
 
Dah! Kumbe hata kurugenzi ya habari haikunielewa? Tusome mada kwa utulivu kabla ya kukurupuka kuchangia. Mimi ni CDM na maoni niliyotoa ni ya kujenga. Labda tungejua tofauti kati ya demokrasia na maendeleo ndio tungejua msingi wa hoja yangu. Nasema hivi, kwa hali ya sasa tukubali kukumbatia demokrasia ili kila mmoja ajiachie atakavyo kisa tu yuko huru kutoa maoni, kutaka uongozi, na kujifanyia mikutano atakavyo? Au tuzingatie maendeleo ambapo itabidi haki za wengine ambazo hazina msingi sana ziminywe ili tusonge mbele? Nionavyo kwa sasa ni kuwa hakuna sababu ya kusema pawepo na uchaguzi wa ngazi za juu za chama kisa tu kujenga demokrasia ndani ya chama wakati mambo yanatokota nje na ndani. Kwa maoni yangi ni kwamba tipumzishe kwanza demokrasia. Na ndicho kilichofanywa na chama kwa sasa.

cc: POMPO, WABHEJASANA, zambez, Molaro, Tiba, Tumaini Makene, fikirikwanza, kayamgo, nkongu ndasu, assadsyria3, tajirijasiri
 
Last edited by a moderator:
Unaweza ukawa umetoa criteria nzuri sana za true democracy na ukazichukua criteria hizo na kuifanyia analysis Chadema basing on those criteria. Fine, lakini ulichokosa katika analysis yako ni "Control Experiment" I mean ungechukua analysis zako ukachukua na model political party inayokidhi at least 80% ya criteria zako kisha ukawa unachukua chama kimoja kimoja na kufanya test experiment kama kinakidhi criteria with control to the model political part. Sasa wewe unachukua chama kimoja tu, hiyo inaonekana kama ni personal attack against that political party. Na ndio maana great thinkers wanakupa different views kwa sababu analysis yako imekosa "Control Model"

Hapo umemuelekeza vizuri,alikuwa haelewi tunampinga nini humu! Yaani ana maana CCMndio wanaDemocracy! What a joke,hivi mwenyekiti mwenyewe wanampataje? Je wabunge? huwa wanafuata democracy? Au Autocracy? Au yeye anafikilia hama chake wanafuata nini? Ndipo aje CHADEMA!

yeye anachojua democracy ni Zitto kuwa mwenyekiti tuu,na ndi muelekeo wa Thread yake na watu wameisha msoma ndio maana anapata majibu asiyotarajia! Kama anafikiri Zitto ndio democracy, hebu ajaribu kumsimamisha huyo Zitto leo aone!

Mlisoma link niliyowawekea hapo chini? Msichambe sana
 
Nafurahi sana kuona kwamba kuna watu wengi sana wanaojitokeza kuikosoa CHADEMA, hii inaonyesha dhahili kuwa kwa sasa ndiyo tegemeo pekee la watanzania katika kutetea maslahi ya watanzania. wananchi tumegawanyika katika makundi mawili wanaoufurahia ufisadi kutokana na ama wao ni mafisadi au vibaraka wa mafisadi hawa ni lazima kwa sasa watazungumzia demokrasia na maendeleo ya CDM kwa kebehi na hii inatokana na hofu walionayo juu ya nguvu ya CHADEMA na jinsi inavyozidi kukubalika kwa watanzania na wanaouchukia ufisadi hawa utawajuwa kutokana na hoja na ushauri wao unalenga zaidi katika kuhakikisha CHADEMA inaimarika. Kwa hiyo kwa sasa kutokana na ukubwa wa CDM tutegemee mengi kujitokeza kutoka pande zote mbili, hata hivyo tutajuwana kwa maneno na matendo yetu. ushauri kwa wale wanaodhani hakuna demokrasia CHADEMA, tumeanzisha vyama vingi ili sisi wananchi tuwe na uwamuzi wa kujiunga na chama ambacho tunaamini kuwa wanakitetea kile tunachokiamini nenda kaitafute kwenye chama unachodhani kinaendeshwa kidemokrasia, na sisi tunaoamini demokrasia ipo CHADEMA tutatoa maona na ushauri wetu kwa njia ambayo italenga kukuza na kuimalisha chama sio kama walewa sifaambao wao wanaona maoni yao ni bora zaidi kuliko uhai wa chama.
 
Nielewavyo, CHADEMA wameanza chaguzi nchi nzima katika ngazi ya shina. Baada ya shina uchaguzi utafinyika nchi nzima katika ngazi ya kijiji.

Baada ya vijiji vyote kufanya uchaguzi , kutakuwa na uchaguzi ngazi ya kata; na inategemewa zoezi hili litakamilika kuwezesha CHADEMA kushiriki katika uchaguzi wa madiwani mwishoni wa mwaka 2014.

Kutokana na programu hii ya chaguzi ni dhahiri kuwa CHADEMA wataweza tu kushirikisha kata zote Tanzania katika uchaguzi wa wabunge (na Rais), yaani uchaguzi mkuu mwaka 2015. Kamati Kuu imeridhia programu hii na hakuna ukiukaji wa Katiba ya Chama.
 
Mkuu Raia Fulani, ukweli ni kwamba hicho ulichosema ndo injini ya maendeleo, wakati wa kupigania uhuru viongozi walikuwepo tu miaka na miaka wakipigania uhuru nchi zote, hakuna aliyedai watoke imekuwa muda mrefu sana. Hata baada ya kupata uhuru vyama vingi tawala afrika vilipiga marufuku mfumo wa vyama vingi kwa lengo moja tu kusaka maendeleo, leo hii wakati wa kutafuta uhuru wa kiuchumi ni sahihi kuwa na viongozi hao hao kwa muda mrefu tena bila kikomo ili mradi tu mapambano dhidi ya ukoloni uchumi na maendeleo yanakuwa ktk mstakabali sahihi. Tufate njia hiyo tu maana hata TZ ilifutwa na TANU, ASP na baadaye CCM.

Huwezi mbadilisha kiongoz wa vita eti tu amekaa muda mrefu wkati mapambano yanaendelea na vikosi vinasonga mbele, utakuwa wehu usiokubalika
 
kosa ni mama yako hakutaka kutumia demokrasia kukujulisha baba yako ni nani.....kamuulize kwanini alikufanyia hivyo ya chdema waachie chadema......idiot

Kweli mmeshikwa pabaya,
kazi yenu kuhubiri demokrasia kwa watawala wakati wenyewe hamuiewezi.
Poleni sana!
 
Back
Top Bottom