Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Mkuu kwani kazi ya Chadema ni kufanya vurugu? Mifano mbona mingi zile fujo za Mbeya ndio kazi ya vyama vya siasa labda tuanza na hii
Aaaaa aaaaaah, tueleze kazi za chama cha Upinzani kwanza, kisha tuwapime Chadema. Hayo ya fujo unayasema wewe na tutayapima mbele ya mjadala. Kwanza nambie kazi na majukumu ya chama cha Upinzani halafu tutaendelea.
 
Sawa mkuu nakuomba utuambie kazi ya chama cha Upinzani ni nini? - Halafu tutapima maelezo yako na ukweli uliopo.

Mkuu, unajua kama vijana wa Chadema kule Mbeya wamefanya uharibufu mkubwa..

Wamewasha moto na kuteketeza magari ya watu, na kuharibu barabara, ya urefu wa kilomita mbili..

Mkuu hii ndio kazi ya upinzani?
 
Mkuu, unajua kama vijana wa Chadema kule Mbeya wamefanya uharibufu mkubwa..

Wamewasha moto na kuteketeza magari ya watu, na kuharibu barabara, ya urefu wa kilomita mbili..

Mkuu hii ndio kazi ya upinzani?
Mkuu wangu hatuelewani lugha ama?... nini kazi na majukumu ya chama cha Upinzani... huwezi kujibu basi kaa pembeni zungumzia ya watu na sii chama...
Sasa unataka kunambia vijana wa Dar hawafanyi machafuko kwa sababu CCM inafanya kazi yake?..na kwa nini isiwe CCM hawafanyi kazi yao huko Mbeya?...Wewe nambie kazi ya chama cha Upinzani kisha ndio mjadala utaweza kupata sura.
 
Wanabodi.

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)..

Kimejikita zaidi kwenye vurugu na watanzania sasa wameamini maneno ya Katibu Mkuu wa Chadema, Dr Slaa..

Akiapa kwa uchungu kwamba watahakikisha nchi haitawaliki.

Hata kwenye majimbo ya uchaguzi ambayo Chadema imeshinda aidha ubunge au udiwani, wabunge na madiwani hao walioshinda kwa tiketi ya Chadema..

Hawafanya lolote chanya la kuwaletea wananchi maendeleo badala yake wanaendesha mivutano isiyoisha wakipinga hata yasiopingika..

Wabunge wa majimbo ya Kawe (Halima Mdee), Ubungo (John Mnyika). (Tundu Lissu) Singida, (Lema) Arusha (Wenje) Mwanza..

Hawakai majimboni mwao wala hawana mpango wowote na wapiga kura wao, badala yake wamejikita kuteleza mikakati ya Chadema makao makuu wanazunguka nchi nzima kuhamasisha watanzania wasigane na serikali ili hatimaye nchi isitawalike..

Huko Mbeya nako moto umewaka lakini kwa staili ile ile ya watu kusigana na serikali pasipo sababu za msingi..

Mbunge wa Mbeya mjini anaitwa kwa jina la sifa Mr. Sugu, amepewa sifa nyingine ziada inayozidi cheo cha ubunge, anaitwa Rais wa mkoa wa Mbeya, je, huu sio uhaini?

Upinzani wa Godbless Lema, na Tundu Lissu, Dr Slaa, Freeman Mbowe, haufai na unadhirisha wazi kwamba wahusika hawakupitia darasa la urai..

Uko wapi uzalendo wa Watanzania wenzetu!

Usilalame Hovyo kama vile hujui kuwa Serikali yako ndo inatakiwa kukuletea Maendeleo, na Chadema ni kama mhimili mmoja wapo wa kusimamia utekelezaji. Na hayo maendeleo kidogo unayoyaona ni kutokana na hizo kelele za Chadema. Imagine nchi hii ingekuwaje bila vyama Pinzani..
 
Wanabodi.

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)..

Kimejikita zaidi kwenye vurugu na watanzania sasa wameamini maneno ya Katibu Mkuu wa Chadema, Dr Slaa..

Akiapa kwa uchungu kwamba watahakikisha nchi haitawaliki.

Hata kwenye majimbo ya uchaguzi ambayo Chadema imeshinda aidha ubunge au udiwani, wabunge na madiwani hao walioshinda kwa tiketi ya Chadema..

Hawafanya lolote chanya la kuwaletea wananchi maendeleo badala yake wanaendesha mivutano isiyoisha wakipinga hata yasiopingika..

Wabunge wa majimbo ya Kawe (Halima Mdee), Ubungo (John Mnyika). (Tundu Lissu) Singida, (Lema) Arusha (Wenje) Mwanza..

Hawakai majimboni mwao wala hawana mpango wowote na wapiga kura wao, badala yake wamejikita kuteleza mikakati ya Chadema makao makuu wanazunguka nchi nzima kuhamasisha watanzania wasigane na serikali ili hatimaye nchi isitawalike..

Huko Mbeya nako moto umewaka lakini kwa staili ile ile ya watu kusigana na serikali pasipo sababu za msingi..

Mbunge wa Mbeya mjini anaitwa kwa jina la sifa Mr. Sugu, amepewa sifa nyingine ziada inayozidi cheo cha ubunge, anaitwa Rais wa mkoa wa Mbeya, je, huu sio uhaini?

Upinzani wa Godbless Lema, na Tundu Lissu, Dr Slaa, Freeman Mbowe, haufai na unadhirisha wazi kwamba wahusika hawakupitia darasa la urai..

Uko wapi uzalendo wa Watanzania wenzetu!
ndugu yangu ritz umeshaambiwa kuwa CHADEMA ni chama cha ushemeji, udada na ukaka, ukwe, mahawala yaani nyumba ndogo; udini, ukabila na ukaskazini sasa watapata wapi muda wa kuangalia maendeleo ya wananchi? wanachokifanya ni vurugu na kujinufaisha matumbo yao tu!
 
Mkuu wangu hatuelewani lugha ama?... nini kazi na majukumu ya chama cha Upinzani... huwezi kujibu basi kaa pembeni zungumzia ya watu na sii chama...
Sasa unataka kunambia vijana wa Dar hawafanyi machafuko kwa sababu CCM inafanya kazi yake?..na kwa nini isiwe CCM hawafanyi kazi yao huko Mbeya?...Wewe nambie kazi ya chama cha Upinzani kisha ndio mjadala utaweza kupata sura.

Mkuu, nikae pembeni vipi tena wewe unataka kazi ya chama cha upinzani au unataka nikuambie kazi ya Chadema?

Kwanza mimi binafsi siamini kama Chadema ni chama cha siasa..

Chadema ni NGO ni kikundi cha watu wa kaskazini..

Ukitaka kujua kazi ya cha cha upinzani angalia TLP, CUF, NCCR..

Nadhani mkuu nimekujibu
 
Nathani uwe mtafiti kwanza kuliko kubwabwaja hayo unaposema wabunge hawakai majimboni?nonsense,wenje yukn jimboni na kabla ya kikao alikuwa jimboni the same 2 mnyika mpaka watu wakakamatwa bada ya kuzuiwa mkutano wake.kwa hiyo itendee haki jf kuwa critical thinking of ur threat pliz
Wanabodi.

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)..

Kimejikita zaidi kwenye vurugu na watanzania sasa wameamini maneno ya Katibu Mkuu wa Chadema, Dr Slaa..

Akiapa kwa uchungu kwamba watahakikisha nchi haitawaliki.

Hata kwenye majimbo ya uchaguzi ambayo Chadema imeshinda aidha ubunge au udiwani, wabunge na madiwani hao walioshinda kwa tiketi ya Chadema..

Hawafanya lolote chanya la kuwaletea wananchi maendeleo badala yake wanaendesha mivutano isiyoisha wakipinga hata yasiopingika..

Wabunge wa majimbo ya Kawe (Halima Mdee), Ubungo (John Mnyika). (Tundu Lissu) Singida, (Lema) Arusha (Wenje) Mwanza..

Hawakai majimboni mwao wala hawana mpango wowote na wapiga kura wao, badala yake wamejikita kuteleza mikakati ya Chadema makao makuu wanazunguka nchi nzima kuhamasisha watanzania wasigane na serikali ili hatimaye nchi isitawalike..

Huko Mbeya nako moto umewaka lakini kwa staili ile ile ya watu kusigana na serikali pasipo sababu za msingi..

Mbunge wa Mbeya mjini anaitwa kwa jina la sifa Mr. Sugu, amepewa sifa nyingine ziada inayozidi cheo cha ubunge, anaitwa Rais wa mkoa wa Mbeya, je, huu sio uhaini?

Upinzani wa Godbless Lema, na Tundu Lissu, Dr Slaa, Freeman Mbowe, haufai na unadhirisha wazi kwamba wahusika hawakupitia darasa la urai..

Uko wapi uzalendo wa Watanzania wenzetu!
 
Kama hili ni la kweli, ungelikalia kimya uhifadhi heshima yako, maana kuandika kwenyewe hujui; hebu soma mwenyewe hicho ulichokiandika tangu mwanzo wake!

Isitoshe, uhaini unaujua? Hukuwahi kusikia bingwa wa salamu redioni akijiita "Rais wa Tanga"?
Kuna nchi inayoitwa Tanga au Mbeya duniani?
Kampindua nani akakalia kiti chake kama Rais wa Mbeya? Au tafsiri ya uhaini kama neno ni ipi kwa fikra zako?

Usikurupukie mambo!
 
Wakuu mnapoteza muda kumjibu mtu asiyejitambua na masikini,kipofu wa fikra!
 
Kuna watoa mada wengine upeo wao ni mdogosana, inaonekana haelewi nchi inavyokwenda kwasababu ya propaganda aidha za ccm au ni mwana ssm.Ccm wanachofanya nikuta kuonyesha kuwa walipo shinda chadema kuna vurugu wanatumia vyombo vya dola kuhakikisha hawatawali.kuna sababu zingine hazina maashiko kwani inaonyesha hata hajui kazi ya mbunge ninini.Hivi tangu ccm inze kutawala ni maendeleo gani wameleta kama sio maendeleo ya ufisdi.

Ukweli ni kwamba ccm wananyimwa usingizi wanapockia CDM
 
Wewe umefanya nini kutuletea maendeleo? Ccm wanakulipa shilingi ngapi leo ili walau watoto waende choo?
 
Wanabodi.

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)..

Kimejikita zaidi kwenye vurugu na watanzania sasa wameamini maneno ya Katibu Mkuu wa Chadema, Dr Slaa..

Akiapa kwa uchungu kwamba watahakikisha nchi haitawaliki.

Hata kwenye majimbo ya uchaguzi ambayo Chadema imeshinda aidha ubunge au udiwani, wabunge na madiwani hao walioshinda kwa tiketi ya Chadema..

Hawafanya lolote chanya la kuwaletea wananchi maendeleo badala yake wanaendesha mivutano isiyoisha wakipinga hata yasiopingika..

Wabunge wa majimbo ya Kawe (Halima Mdee), Ubungo (John Mnyika). (Tundu Lissu) Singida, (Lema) Arusha (Wenje) Mwanza..

Hawakai majimboni mwao wala hawana mpango wowote na wapiga kura wao, badala yake wamejikita kuteleza mikakati ya Chadema makao makuu wanazunguka nchi nzima kuhamasisha watanzania wasigane na serikali ili hatimaye nchi isitawalike..

Huko Mbeya nako moto umewaka lakini kwa staili ile ile ya watu kusigana na serikali pasipo sababu za msingi..

Mbunge wa Mbeya mjini anaitwa kwa jina la sifa Mr. Sugu, amepewa sifa nyingine ziada inayozidi cheo cha ubunge, anaitwa Rais wa mkoa wa Mbeya, je, huu sio uhaini?

Upinzani wa Godbless Lema, na Tundu Lissu, Dr Slaa, Freeman Mbowe, haufai na unadhirisha wazi kwamba wahusika hawakupitia darasa la urai..

Uko wapi uzalendo wa Watanzania wenzetu!

na bado! tutafanya fujo mpaka warudishe azimio la arusha, azimio lenye misingi ya utu. haiwezekani, viongozi kwa nadharia watawala kwa vitendo, ni kweli hatutawaliki!!!!!! walioukengeusha uzalendo ni hao ccm!!!!!
 
Wenzetu Chadema mmedhamiria vilivyo kuhakikisha nchi haitawaliki na Rais hamalizi salama kipindi cha pili

Hatakuwa rais wa kwanza kutomaliza muda wake! elewa kuwa rais huyu hatuheshimu, haiwezekani akubali mipango sisi tuibiwe, kama ana-compromise na wezi anaonyesha hawezi kusimamia sheria, asilazimishe kuendelea kuongoza!
 
Kazi ya chama tawala tinayoweza kuipima bila shaka ni kushitaki wapinzani pasipo sababu ya msingi, kuamrisha vyombo vya dola kunyanyasa raia na kukandamiza demokrasia,kutumia wingi wao wa uwakilishi badala ya mantiki/hoja, kufuja maliasili zetu, kuua uchumi wetu, kulinda MAFISADI kwa nguvu zote nk.
 
HUYU PIMBI ANAFIKIRI MAENDELEO NI VITU TU. LIBYA GADDAFI ALIWAPA VITU MUHIMU VYOTE BURE LAKINI HAKUWAPA UHURU WA KUAMUA MMBO YAO WAKAONA HAITOSHI!tumechoka kufanywa watumwa na ccm. TUTAWADUNDA TU WASIPOKUBALI
 
SASA cdm wameridhia kupokea posho ya laki mbili kutoka elfu sabini..........
 
idd azani- kinondoni, bwana mdogo-chalinze, mtemvu- temeke, makinda-njombe na wengine wengi. ungewauliza miaka 50 uhuru(uhuni) wamefanya nini kwenye majimbo yao then ukipata majibu ndio uje kuhoji hao wa chadema wanaokalibia kutimiza mwaka.
 
Hao wanaokula fedha za umma bila aibu ndo wanataka kuifanya nchi hii isitawalike,hii ni kwa sababu UMMA mwisho utachoka kuona watu wanakula Keki ya Taifa peke yao huku watu wakipukutika kwa njaa na matatizo mengine yanayosababishwa na Uongozi mbovu.
 
Katika nukta hii nawataka wana Chadema wa Arusha Mjini, Mbeya Mjini, Ubungo na Singida Mashariki wayaangalie majimbo ya Hai, Moshi Vijijini na Kigoma Kaskazini..

Kwa kina Zitto Kabwe, Philemon Ndesamburo, na Freeman Mbowe watagundua tofauti na hila zilizoko ndani ya chama hicho..

Katu Mchagga hawezi kuitifua barabara ya Kilimanjaro, wala kuchoma jengo wala kuacha shughuli za kuzalisha mali akashiriki maandamano..

Ndio maana maeneo yao yametulia. Tukiangalia fujo za Mbeya tunaona wazi kwamba ziliandaliwa..

Na uharibifu mkubwa ulipangwa na kuratibiwa kwa umakini na Chadema
Adding masaburi
 
Back
Top Bottom