Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,781
- 20,946
Haya ndo mamboo sasa
Santee
Haya ndo mamboo sasa
Mmkule tu, ukiwahofia walimwengu hutafanya yako.Wakuu reymage we ni shost yangu sana ukiwa na Dinazarde kwa I'd yangu flan. Nimefurahi kujua ni wewe asee.
Naomba ni PM namba ya max nina shida nae niliwahi onewa na mod.
Kuhusu mada nimeogopa nilitaka nikamkule mmbulu mmoja ila kwa haya yanayohappen asee sitaki tena. C itabidi nipotee sina kifua cha kubeba aibu ndogondogo ....yani nikutunuku K halafu uje unilete kunianika hapa nitakufa kabla ya siku zangu
Pole...Ndo naona Leo shoo!pole sana..mi nimeisahau kipenzi nilipoteza simu!
Aku mambo ya kuanikwa hapa nani anayataka...yani K nitoe mwenyewe halafu nije nipewe stress? Ngoja nibaki na ankoMmkule tu, ukiwahofia walimwengu hutafanya yako.
Sio kila mtu ana akili mbovu.Aku mambo ya kuanikwa hapa nani anayataka...yani K nitoe mwenyewe halafu nije nipewe stress? Ngoja nibaki na anko
Yaani nafikir sina hyo option sinaga!Pole...
Si unaweka email uliyotumia kama umesahau password inakutumia link ya kuset upya...au jf hakunaga vya hivyo?
Kama huna dini kinakuuma nini?Hunaga faili bovu isipokuwa la udini tu
Shikamoo Bibi..!Kama huna dini kinakuuma nini?
Pilipili usoila yakuwashiani?
Duuuh!Alijifanya google kila kitu anajua alaf kila nchi anampango wa kwenda mbaya zaid akawa anajiona mpambanaji kuliko wana JF wote sasa kilicho mkuta tulijua hadi lodge aliyoenda kugegedwa mara ya mwisho kumbe anaishi kwa ujuzi wa katikati ya miguu
Mimi nina Mungu sio diniKama huna dini kinakuuma nini?
Pilipili usoila yakuwashiani?
Wewe baki na Mungu wako tuache wenye dini Yetu ya Uislam tujivunie dini ya haki.Mimi nina Mungu sio dini
Kweli eeh? Basi tutakuwa tunakomentiNjooni JF bwana, ujue ukipost kitu halafu umuone mmama anachangia basi unajihis raha kama vile mkeo ndio ka-coment!!
Nasikitika unapojongea motoni mdo mdo!!?Wewe baki na Mungu wako tuache wenye dini Yetu ya Uislam tujivunie dini ya haki.
Kinakuwasha nini sasa?
Precisely, sio tu kuvuana nguo. Mkionana huko nje, yanabaki huko huko. Kama hakuna ulazima, sio sawa kuyaleta hapa.
Watu wakiamua kuanikana hapa itatokea vita kuu ya kwanza ya JF, ni kwa vile tu busara inatawala. Hakuna mtu anapenda kutwezwa utu au kudharauliwa kwa namna yeyote ile.
Wakuu reymage we ni shost yangu sana ukiwa na Dinazarde kwa I'd yangu flan. Nimefurahi kujua ni wewe asee.
Naomba ni PM namba ya max nina shida nae niliwahi onewa na mod.
Kuhusu mada nimeogopa nilitaka nikamkule mmbulu mmoja ila kwa haya yanayohappen asee sitaki tena. C itabidi nipotee sina kifua cha kubeba aibu ndogondogo ....yani nikutunuku K halafu uje unilete kunianika hapa nitakufa kabla ya siku zangu
Humu jf kama whatsapp tu
Kama huna dini kinakuuma nini?
Pilipili usoila yakuwashiani?
Wewe baki na Mungu wako tuache wenye dini Yetu ya Uislam tujivunie dini ya haki.
Kinakuwasha nini sasa?
Nasikitika unapojongea motoni mdo mdo!!?