Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,943
- 15,678
Hihihihihihi unajua venye napenda best!!! Hio kitu acha kabisa!!!


I know. Tatzo binadamu wa sasa ni wabishi sanaHihihihihihi unajua venye napenda best!!! Hio kitu acha kabisa!!!


I know. Tatzo binadamu wa sasa ni wabishi sanaUkiisoma hiyo statement unajisikiaje bibie?

Acha ukorofi!Ukiisoma hiyo statement unajisikiaje bibie?![]()
Acha ukorofi!
utani tu mtu wangu!Wewe mtoto wa kike kama sijakosea unaakili nyingi sana nimefatilia coment zakoSahihisha hapo Mkuu.."Anguko lake lilifurahiwana wengi."
Hivi ki binadamu unaweza kufurahia mabaya yanapompata mwingine? Wakati huo nani amejua yako/yangu?
Nadhani inahitaji moyo wa kishujaa sana..
Sent using Jamii Forums mobile app





Wanao mzodoa wanamjua ndio maana kabadili hadi IsMtu anabadili ID afu hasemi, kwani ukisema kuna nini? Nani anakujuwa wewe!!!!





"What happens in las vegas stays in las vegas"..... Mkishavuana nguo mnapaswa kulindana na kufichiana aibu, no one is perfect hata ikiwa ni nje ya humu.
Wap waenda
Nakimbia !!Wap waenda
Utanijazia nzi PM ujue...
Tatizo uliniona ukiwa ushakunywa Konyagi...





nitakufa kabla ya siku zanguMfollow max insta ukimdm atakupa namba mim nishapoteza namba zakeWakuu reymage we ni shost yangu sana ukiwa na Dinazarde kwa I'd yangu flan. Nimefurahi kujua ni wewe asee.
Naomba ni PM namba ya max nina shida nae niliwahi onewa na mod.
Kuhusu mada nimeogopa nilitaka nikamkule mmbulu mmoja ila kwa haya yanayohappen asee sitaki tena. C itabidi nipotee sina kifua cha kubeba aibu ndogondogo ....yani nikutunuku K halafu uje unilete kunianika hapanitakufa kabla ya siku zangu
AsanteMfollow max insta ukimdm atakupa namba mim nishapoteza namba zake
Asante
Anatumia jina gan
We dina wewe kweli menichoka naka mie .... Leo ndo unanijibu....Max melo
Hahaha tatizo notification nduguWe dina wewe kweli menichoka naka mie .... Leo ndo unanijibu....
Ndo naona Leo shoo!pole sana..mi nimeisahau kipenzi nilipoteza simu!Wakuu reymage we ni shost yangu sana ukiwa na Dinazarde kwa I'd yangu flan. Nimefurahi kujua ni wewe asee.
Naomba ni PM namba ya max nina shida nae niliwahi onewa na mod.
Kuhusu mada nimeogopa nilitaka nikamkule mmbulu mmoja ila kwa haya yanayohappen asee sitaki tena. C itabidi nipotee sina kifua cha kubeba aibu ndogondogo ....yani nikutunuku K halafu uje unilete kunianika hapanitakufa kabla ya siku zangu