Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,002
- 72,284
Muambie Mshana au Asprini wanatakua nazoAcha uongo naa ujanja bhana, hebu ni boost mjukuu wako, ntateketea ujue?![]()
hakika mywangu umejua kunibabaishaNa huyo mdada ni mimi.
Kwa wadada hayupo wote wazungu labda wanchomeshe kwa wengine kwa wakak nnaowajua wale wababa waungwana may be vijana na sidhani anyway tuombe Mungueeeeh kitaumana, af usiowategemea ndo wanao haribu, kuwa mpolee usiogope.


!!mi ntakufa kwa presha mjue sitaniinakumbuka tena baada ya kumuexpose ndo akaanza tumia jina jipya...!!nilikula ban nzuuri that day tulikushambulia bwanaa!!
sisahau aseeeh...!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app



carlos alikuwaa anatuudhi jamani 

Mwanaume hazeekiKabisa
Wewe je?
Safi sanaMwanaume hazeeki
nimekubamba tayar, na nlijua tyuuh wee n Geni, au ile nyngne inaanzia na hilo hapo ila iwe "a" katkat........., hahaha nlkumuc sana dea.
Sjawah kukosea kuhisi. Weuweeeeeeh



unanifananisha dyadyaa....mi mtu mpya bwana weeeh!unanifananisha dyadyaa....mi mtu mpya bwana weeeh!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app



mie nlikujuaga tang mda sana, sema sasa kukuuliza nkahisi ntakukwaza, ila, nlijua n wee tyuuh.Sometimes inategemea na wewe ilikuwaje ukatoa au kama unajitangaza sana wanaume watataka waone maajabu uliyonayo wakiyakosa ndiyo hivyo matangazo utakumbana nayowe fala Sana'a....ntoe kwa I'd hii hii...
Kwani hua tunawajua baasi!! Wanakuambia sura sio moyo...!ukijichanganya tu umetoa kimasiharaa kesho wanakublast!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Alitaka tenaMlifanyana nini mpaka akutishie hivyo?














nikakataa...mi nkishatema nimetema mkwe...!!!!sirudi nyumaa mda huo Niko kwenye peak ya love chaaa...!ila nilikua nawaza mwenzio weeeh!alijua kuniwazisha Mimi!!sisahau yaani 






Kwa wadada hayupo wote wazungu labda wanchomeshe kwa wengine kwa wakak nnaowajua wale wababa waungwana may be vijana na sidhani anyway tuombe Mungu!!mi ntakufa kwa presha mjue sitanii
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app




acha kabisaa.Wee mrembo wee!nkoii!!wazee tyupo!!!Shoga angu mim kawaida tukuna kina mzigua,shunie,witty ni balaaaa
Ishafutwa!Iko wapi jamani tumuone huyo mrembo![]()
Wanayo bwana

wanaona raha unavokula ban za kiuonevu etii!kaahh!nikiipata ntakupa Nambie rafiki!! Nawewe umepotea kidogo sitaki tukutafute kwa kukufungulia uzi aisee!!


Nipo rafiki na uyo wa kunifungulia uzi mbona hajazaliwaHumu ndani ni ku lay low tu kama una Moyo mdogo,
Mambo ya Umaarufu tuwaachie Celebrities wa Bongo, maana wao washazoea michambo na mitusi kwa Watanganyika....
Yote kwa Yote tabia za kinyanyasaji na utapeli hazitafumbiwa macho.
Aahh!bwana wee haijalishi...mwenye lake hachagui sababu broo...nakuambia halafu tujifunze kuvumiliana jamani!hakuna mkamilifu ktk ardhi....!!Sometimes inategemea na wewe ilikuwaje ukatoa au kama unajitangaza sana wanaume watataka waone maajabu uliyonayo wakiyakosa ndiyo hivyo matangazo utakumbana nayo