Dem wa mshkaji anazingua, naombeni ushauri

Dem wa mshkaji anazingua, naombeni ushauri

Umeona kamsifia dem wa mchiz wake kwa ni mkali kishenzi, unadhan ni kwa nn?! Hana mzur kama huyo! So hilo unalomshauri liko nje ya uwezo wake!

ila awe makini, mwanamke anaye wachanga marafiki kwenye k moja hafai huyo......!
 
Hamna Mke hapo jamaa nampa pole zake na hayo ndo matatizo ya kutaka kuoa m/mke ilimradi na wewe uonekane umeoa,,,jamaa atasaidiwa sana hapo baadae.
 
Ukipata jibu la swali hili utajua cha kufanya: Jifikirie wewe ndiyo yeye na huyo ni demu wako na rafiki yako kampa dushelele lake alibugie. Je kweli ni rafiki yako? Je, ungependa ujue kinachoendelea kabla ya kupeleka kuku wa posa?
 
Hapo hamna kitu wewe na huyo demu lenu moja...mnatuzuga...ushauriwe nini..mbona kabla hujampa dushelele aibugie hukuomba ushauri?..then eti kutia dushelele lako kwenye nyandi yake..ndio unaomba ushauri kwetu....tokeni zenu tena nyie wewe na huyo malaya..ni wauaji wa kubwa..huyo bro ako mtamwua..siku si nyingi, kwa bp au kwa fangasi zenu ,------- nyie....wewe jiulize kama ww kama rafiki ya mpenzi wake..anakufanyia hivyo, vp kwa mwanaume wengine wambali?...huyo demu kachoka mpaka kabaang...."utakufa homa ya dengua wewe"....kaa mbali nae ----- wewe'
 
Wew kula usiogope kabisaaaa maana % kubwa ya wadada ndivyo walivyo so kula mambo ndugu yangu maana hata mkeo watu watamla harafu mle na 0715 kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Chapa mlupo huo...huenda jamaa yake mashine mbovu haipigi starter..msaidie mshkaji wako la-sivyo tutapita sie muishie kubeba aibu kitaani...mgonge demu kula kila kituuuu mpaka kabang ili utunze heshma ya mshkaji wako..ila hakikisha hajui.

Kama huwezi mtupe kwangu (her number please in pm) naahidi kutunza siri zenu.

Ha ha ha ahaaah!! Wewe jamaa ni noma kwa ushauri...
 
We nae wacha uchoyo huyo sio dem wa mshikaji wako ni demu wenu hadi sasa, chapa nao mapema heshima iwepo wewe ushamuachia hadi kalinyonya dude lako sasa watafuta nini kama sio balaa, Nakwambia usipomchapa atatafuta self deffence kwa kumwambia mshikaji wewe unamsumbua afu kwa kuwa jamaa kakolea mtaharibu uhusiano wako na swahiba oohooooo kalaga baho piga mashine acha ubwege.
 
I'm a gud boy ndo mana nimeomba ushauri ili nijiengue kwenye hili janga linaloweza kutokea any time from nw

g/boy ukakubali hadi kunyonywa dushelele kitendo cha kutulia kufanyiwa hayo yote ulikuwa kwenye utayariwa kumsaliti braza wako..... jitahidi kuwa mbali nae na usilogwe kumweleza braza chochote utaleta uhasama
 
Ulichokosea ni wewe kumruhusu asuck adick but ni vizuri kama hamja do mimi nakushauri ujitahidi kumpotezea jifanye huna habari naye kabisaaaaa mimi hayo yamenikuta sana lakini sijawahi kum---- demu wa mshkaji wangu yoyote ni kukaza 2 mwanangu lasivyo mchizi akija kugundua atakuona ka jalala
 
ha ha ha ahaaah!! Wewe jamaa ni noma kwa ushauri...

ahahahaaaaa...kataviiii...kaka unaonekana ni mfuatiliaji wa mi-advise yangu hapa jamvini..

Ahahahaaaa.
Kweli kila mtu na washabiki wake..mie nilijuwa watu wanamzimia messi pekeyake kumbe na mie hapa jf ninao washabiki wangu.

Ahahahaaaaaaa....aminia kaka.
 
We nae wacha uchoyo huyo sio dem wa mshikaji wako ni demu wenu hadi sasa, chapa nao mapema heshima iwepo wewe ushamuachia hadi kalinyonya dude lako sasa watafuta nini kama sio balaa, Nakwambia usipomchapa atatafuta self deffence kwa kumwambia mshikaji wewe unamsumbua afu kwa kuwa jamaa kakolea mtaharibu uhusiano wako na swahiba oohooooo kalaga baho piga mashine acha ubwege.

Teheheheheh! Hapo kwenye bluu umenichekesha sana!
 
Kula mzigo na ujue ataamia kwako mazima!Mpelekee moto kwelikweli ndipo utajua amefuata nn kwako na yawezekana kabisa jamaa kiwango kidogo sn.Msaidie huyo dada wa watu naye anahitaj kukunwa inavyotakiwa sio anasikia kwa marafk tu.Yawezekana jamaa uzungu mwingi anapga sn pas wkt wa kufunga anajifanya gaucho.
 
ahahahaaaaa...kataviiii...kaka unaonekana ni mfuatiliaji wa mi-advise yangu hapa jamvini..

Ahahahaaaa.
Kweli kila mtu na washabiki wake..mie nilijuwa watu wanamzimia messi pekeyake kumbe na mie hapa jf ninao washabiki wangu.

Ahahahaaaaaaa....aminia kaka.

hahahaaaah!! Kaka wewe ni kama Messi tu humu ndani, nikiwa"ga" na stress nafungua MMU na kuangalia mada mbalimbali, nikikuta comment ya who Cares, lazima nitabasamu hahahaaah!!
 
Last edited by a moderator:
Malizia kazi uliyoianza huku ukiomba usitoke na "ngwengwe". Kwakua jamaa bado hajaoa ni wakati mwafaka ukamwambia ameingia chaka.
 
hahahaaaah!! Kaka wewe ni kama Messi tu humu ndani, nikiwa"ga" na stress nafungua MMU na kuangalia mada mbalimbali, nikikuta comment ya who Cares, lazima nitabasamu hahahaaah!!

kaka usinipe mi-hopes kesho ukaniona kwenye tv nimeanzisha clinic yangu ya kutibu stress maana credentials ninazo na mashuhuda wapo mpaka mtandao wa kijamii bora kuliko yote east africa "JAMII FORUMS" HOME OF THE GREATEST THINKERS...

kama naweza kupoza stress za ma-great thinkers itakuja hizi ndogo za vichwa panzi wa kule fb?....ahahahahaaa

coming soon...CLINIC YA KUTIBU STRESS KWA STORY TUU..NO MITISHAMBA WALA KEMIKALI..kijasiriamali zaidi.
 
Hatari!! Alafu yawezekana huyo jamaa yako na yeye yumo humu ndani( JF ), na wewe unamtaka huyo dada! Na umeshag0‹2nga tayari!! Hadi koni! Wewe tuli! Aaah wapi!
 
Back
Top Bottom