Dem wa mshkaji anazingua, naombeni ushauri

Dem wa mshkaji anazingua, naombeni ushauri

Amicus Curiae

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
5,352
Reaction score
7,668
Enough is enough...

Dem mzuri kishenzi, anafanya kazi CRDB...jamaa yake ndio kanipokea ofisini mwaka huu January wkt naanza kazi, he is more than a brother to me, hadi kanishirikisha kwamba ana mpango wa kumuoa huyo binti...

Cha ajabu sasa, unaweza ukakuta tumekaa mimi, huyo demu na jamaa yake, afu dem anaanza kunikonyeza!

Juzi usiku kanipigia simu niende kwake, nikamuuliza kuna nn? akanijibu "pls naomba uje mara moja", nikaenda, kufika nikagonga akauliza "we nani?", nikamjibu...akasema ingia, nikamkuta amevaa ch*pi nyeupe tu hlf amejikunyata, akaniambia "acha woga ww njo uonje vitu adimu", nikatoka fasta! wkt huo mapigo ya moyo yamebadilika kbs!!!

Mbaya zaidi jana jamaa yake kanipigia akaniambia mdg wangu niko sehemu, kama una nafasi naomba umpitie shemeji yako uje nae tule nyama kdg, mimi na huyo manzi tunaishi karibu, ilikua usiku, nikafika kwake akaingia kwenye gari vzr tu hlf moja kwa moja akaanza kunishika dushelele yangu, khaaa! nikashindwa kujizuia, akafungua zipu nikawa namuangalia tu huku natetemeka, akanyonya dushelele kama nusu saa hivi!! Wallah vile almanusura nimshughulikie kwenye gari!!!!

This is serious, hebu nishaurini jamani, niimwambie tu jamaa tabia ya huyu demu au ninyamaze, tatizo lingine ni kwamba jamaa akijua dem wake kanyonya dushelele yangu itakuaje??? Sina amani kbs...imefikia hatua namu-avoid kbs huyu shemeji yangu

:sad:
 
Sasa mbona tayari ushakula huyo?!,yani umeruhusu kanyonya halafu hutaki kuingiza dushelele kwenye kinyangili chake?!nipe namba zake nikuoneshe kazi lakini awe mwenye viwango vinavyokubalika.
 
Sasa mbona tayari ushakula huyo?!,yani umeruhusu kanyonya halafu hutaki kuingiza dushelele kwenye kinyangili chake?!nipe namba zake nikuoneshe kazi lakini awe mwenye viwango vinavyokubalika.

Sikupenda ainyonye kaka ila si unajua tena mtoto wa kike akishaishika dushelele mambo yanaharibika kbs...
 
Hii kali, watu wanafika Bakhalesa wewe umetulia tu halafu anaramba koni nusu saa bado umetulia tu? Swali alifikaje huko maana amesha kudhalilisha sana tu.
 
Unataka kufa wewe, cha mtu ni sumu.
Huyo mwanamke ni malaya, adabu hana na ni mshenzi.
Anaweza akakugeuzia kibao na ukaonekana wewe ndio ulisumbua kumtaka. kaa nae mbali na usipende kuzoea au kuwa karibu na mwanamke wa mtu, yatakukuta makubwa.

Uenda hata jamaa anakutega akuone kama ni rafiki mwema kwake.

fanya hivi. akikupigia usipoke sim hata siku moja.
akikuandikia sms, anataka uende kwake husijibu, jibu siku ya pili na mwambie simu ulisau mahali, ulilala mapema.
Tafuta mwanamke au mpenzi, ili akuone na demu, na msg zake muoneshe huyo mpenzi wako, ni ushahidi likitokea lolote baadae.

nakupa pole
 
I'm a gud boy ndo mana nimeomba ushauri ili nijiengue kwenye hili janga linaloweza kutokea any time from nw
Ungekuwa good boy usingempa mpenzi wa rafiki yako, ambaye unasema ni zaidi ya rafiki kwako, ambaye amekupokea kazini vizuri na kukufundisha kazi dudu lako alinyonye. Usijitetee kuwa hukumpa alichukua mwenyewe!
 
Ahaaa, kumbe unataka kunisaliti, ndo maana mlichelewa sana kuja enheee! Poa tu yote maisha!
 
Ngoma inakuita kaa chonjo!!!!
 
Ungekuwa good boy usingempa mpenzi wa rafiki yako, ambaye unasema ni zaidi ya rafiki kwako, ambaye amekupokea kazini vizuri na kukufundisha kazi dudu lako alinyonye. Usijitetee kuwa hukumpa alichukua mwenyewe!

Jamani msinilaumu sana, nishaurini basi...nilishindwa kujizuia aisee
 
Unataka kufa wewe, cha mtu ni sumu.
Huyo mwanamke ni malaya, adabu hana na ni mshenzi.
Anaweza akakugeuzia kibao na ukaonekana wewe ndio ulisumbua kumtaka. kaa nae mbali na usipende kuzoea au kuwa karibu na mwanamke wa mtu, yatakukuta makubwa.

Uenda hata jamaa anakutega akuone kama ni rafiki mwema kwake.

fanya hivi. akikupigia usipoke sim hata siku moja.
akikuandikia sms, anataka uende kwake husijibu, jibu siku ya pili na mwambie simu ulisau mahali, ulilala mapema.
Tafuta mwanamke au mpenzi, ili akuone na demu, na msg zake muoneshe huyo mpenzi wako, ni ushahidi likitokea lolote baadae.

nakupa pole


Asante! kweli kbs kuna kila dalili za huyu demu kunigeuzia kibao manake ameshaanza kunipa vitisho vya chinichini! Nitaufanyia kazi ushauri wako!
 
wewe huna demu?tafuta demu wako huyo kicheche atakaa pembeni
 
Na kama jamaa yake ni mtu muelewa jaribu kumueleza ila kama utaona hana busara achana nae lakini kingine kama una mchumba au rafiki wa kike muweke karibu na huyo mdada wawe marafiki utakuwa umepona kwa hilo
 
Enough is enough...

Dem mzuri kishenzi, anafanya kazi CRDB...jamaa yake ndio kanipokea ofisini mwaka huu January wkt naanza kazi, he is more than a brother to me, hadi kanishirikisha kwamba ana mpango wa kumuoa huyo binti...

Cha ajabu sasa, unaweza ukakuta tumekaa mimi, huyo demu na jamaa yake, afu dem anaanza kunikonyeza!

Juzi usiku kanipigia simu niende kwake, nikamuuliza kuna nn? akanijibu "pls naomba uje mara moja", nikaenda, kufika nikagonga akauliza "we nani?", nikamjibu...akasema ingia, nikamkuta amevaa ch*pi nyeupe tu hlf amejikunyata, akaniambia "acha woga ww njo uonje vitu adimu", nikatoka fasta! wkt huo mapigo ya moyo yamebadilika kbs!!!

Mbaya zaidi jana jamaa yake kanipigia akaniambia mdg wangu niko sehemu, kama una nafasi naomba umpitie shemeji yako uje nae tule nyama kdg, mimi na huyo manzi tunaishi karibu, ilikua usiku, nikafika kwake akaingia kwenye gari vzr tu hlf moja kwa moja akaanza kunishika dushelele yangu, khaaa! nikashindwa kujizuia, akafungua zipu nikawa namuangalia tu huku natetemeka, akanyonya dushelele kama nusu saa hivi!! Wallah vile almanusura nimshughulikie kwenye gari!!!!

This is serious, hebu nishaurini jamani, niimwambie tu jamaa tabia ya huyu demu au ninyamaze, tatizo lingine ni kwamba jamaa akijua dem wake kanyonya dushelele yangu itakuaje??? Sina amani kbs...imefikia hatua namu-avoid kbs huyu shemeji yangu

:sad:

Achana naye huyo kaka, msitu wa pande bado haujafyekwa.
 
Na kama jamaa yake ni mtu muelewa jaribu kumueleza ila kama utaona hana busara achana nae lakini kingine kama una mchumba au rafiki wa kike muweke karibu na huyo mdada wawe marafiki utakuwa umepona kwa hilo

Jamaa yake ni muelewa sana ila si unajua tena swla la mapenzi lilivyo nyeti, anaweza akanizingua!
 
Back
Top Bottom