STALLEY
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 619
- 206
Habari wakuu nimesikia tetesi kuwa degree zinazotolewa na taasisi kama DIT au IFM hazipewi uzito na waajiri kama zinazotolewa na universities pia naskia kwa wale wanao apply vyuo vya nje ya nchi kwa level ya masters wanapata wakati mgumu kupata vyuo huko kama degree zao wanazipata kutoka kwenye taasisi je hii ni kweli?na pia ni sahihi kwa taasisi kutoa elimu mpaka ngazi ya degree?