kahama kwetu
Member
- Jan 8, 2013
- 24
- 1
Jibu la haraka haraka.
Hii ina maana katika kuhitimu mafunzo (shahada) yake ameshika nafasi ya tatu.
Shahada zipo kwenye viwango hivi na nitavifafanua baadae:
​
- 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza)
- Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili
- Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu
- Pass (au Thank-you Oh Lord degree a.k.a. gentleman degree)
- Fail (umefeli au kushika mkia)
LOWER SECOND WITH HONORS inamaana gani?
Inamaanisha kuwa katika masomo ya kozi yake amejitahidi na kupata GPA (Grade Point Average) ya wastani wa B+ kwa masomo yote. Hii GPA sio kiashiria cha mafanikio yake kwenye maisha au kazini. Kwa mwajiri hii ina maana huyu kijana akimpa jukumu unaweza kutegemea ufanisi mzuri zaidi ya wastani (better than average performance). Aina ya shahada iliyopo kwenye cheti chako itakusaidia tu kufungua milango katika kutafuta ajira.
Inawezakana kabisa mwanafunzi mwenye pass (B) degree akawa na ufanisi wa A+ kazini na 1st class honor (A+) degree holder akawa na ufanisi duni kazini.
Hii GPA inakokotolewaje?
Nitakupa mfano hai ninaoufahamu mimi kwa hapa nilipo. (Utaratibu huu unaweza kutofautiana na sehemu nyingine).
Kuanzia mwaka wa kwanza mpaka mwanafunzi anamaliza shahada yake kila somo akilimaliza atapewa alama ya A, B, C, D, F kufuatia na ufaulu wake. Kila alama ina uzito wake (huu uzito unatofautiana kutoka shule hadi shule) kama ifuatavyo:
A+ = 5.0
A =4.5
A- =4.0
B+ =3.5
B =3.0
B- =2.5
C+ =2.0
C =1.5
C- =1.0
D+ =0.5
F =0
Zaidi ya kila alama kuwa na uzito wake, pia kila somo linapewa uzito kulingana na ugumu au umuhimu wake katika hiyo shahada.
Kwa mfano: Kama unafanya shahada ya uchumi (Economics), basi somo linalochambua sera za kiuchumi (MONETARY/FISICAL policies) litakuwa na uzito mkubwa kuliko somo la mwaka wa kwanza kama Introduction to Microeconomics. Uzito wa somo pamoja na uzito wa alama aliyopata mwanafunzi ndivyo vinavyotumika kukokotoa (weighted average) GPA. (Kama utataka mfano wa kukokotoa weighted average nitonye nitakuwekea)
Hivi ndio viwango vya shahada kufuatia GPA yake atakapomaliza shahada yake:
4.00-5.00 - 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza) [A-, A, A+]
3.80-3.99 - Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili [upper B+]
3.5-3.79 - Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu [lower B+]
2.5-3.49 - Pass (Thank-you Oh Lord degree a.k.a. gentleman degree)
< 2.5 - Fail
SAUT hawanaga honours!
Mimi nina honor kutoka UDSM
Hii ina maana kila mwaka GPA yake imekuwa ikipanda.
Mimi nilipata sup 2 mwaka wa 1 nilipata sup.1 na mwaka wa 2 nilipata 1
Ila mwisho wa siku nilipata honor ni kutokana na GPA kupanda kila mwaka
Mwaka wa 1, GPA ilikuwa 3.5,
Mwaka wa 2 GPA ilikuwa 3.8
Mwaka wa 3 GPA ilikuwa 4.1
Honor ni kupanda kwa GPA kila mwaka
Nawasilisha
si kweli kuwa hajawahi pata sup, wapo waliopata na wana honours, pia wapo waliopata gpa inayopaa still wanayo honours , so wajuvi wa mambo watakuja dadavua zaidi
kwani ukijua chuo kitakusaidia nini, hizi grade si ni standard Au GPA ya chuo chako ulicho soma ndo ya maana sana. ucha ulimbukeni kijana.
Wa bogo bwana mnashabikia vitu ambavyo sio vya msingi kabisa. halafu weweunae uliza chuo gani unaonyesha jinsi gani usivyo jua mambo, umeulizwa swali kama unajua jibu hujui acha watu wengine wajibu au unataka tukuone upo japo kuwa huna mchango wala msaada.
Jibu la haraka haraka.
Hii ina maana katika kuhitimu mafunzo (shahada) yake ameshika nafasi ya tatu.
Shahada zipo kwenye viwango hivi na nitavifafanua baadae:
​
- 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza)
- Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili
- Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu
- Pass (au Thank-you Oh Lord degree a.k.a. gentleman degree)
- Fail (umefeli au kushika mkia)
LOWER SECOND WITH HONORS inamaana gani?
Inamaanisha kuwa katika masomo ya kozi yake amejitahidi na kupata GPA (Grade Point Average) ya wastani wa B+ kwa masomo yote. Hii GPA sio kiashiria cha mafanikio yake kwenye maisha au kazini. Kwa mwajiri hii ina maana huyu kijana akimpa jukumu unaweza kutegemea ufanisi mzuri zaidi ya wastani (better than average performance). Aina ya shahada iliyopo kwenye cheti chako itakusaidia tu kufungua milango katika kutafuta ajira.
Inawezakana kabisa mwanafunzi mwenye pass (B) degree akawa na ufanisi wa A+ kazini na 1st class honor (A+) degree holder akawa na ufanisi duni kazini.
Hii GPA inakokotolewaje?
Nitakupa mfano hai ninaoufahamu mimi kwa hapa nilipo. (Utaratibu huu unaweza kutofautiana na sehemu nyingine).
Kuanzia mwaka wa kwanza mpaka mwanafunzi anamaliza shahada yake kila somo akilimaliza atapewa alama ya A, B, C, D, F kufuatia na ufaulu wake. Kila alama ina uzito wake (huu uzito unatofautiana kutoka shule hadi shule) kama ifuatavyo:
A+ = 5.0
A =4.5
A- =4.0
B+ =3.5
B =3.0
B- =2.5
C+ =2.0
C =1.5
C- =1.0
D+ =0.5
F =0
Zaidi ya kila alama kuwa na uzito wake, pia kila somo linapewa uzito kulingana na ugumu au umuhimu wake katika hiyo shahada.
Kwa mfano: Kama unafanya shahada ya uchumi (Economics), basi somo linalochambua sera za kiuchumi (MONETARY/FISICAL policies) litakuwa na uzito mkubwa kuliko somo la mwaka wa kwanza kama Introduction to Microeconomics. Uzito wa somo pamoja na uzito wa alama aliyopata mwanafunzi ndivyo vinavyotumika kukokotoa (weighted average) GPA. (Kama utataka mfano wa kukokotoa weighted average nitonye nitakuwekea)
Hivi ndio viwango vya shahada kufuatia GPA yake atakapomaliza shahada yake:
4.00-5.00 - 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza) [A-, A, A+]
3.80-3.99 - Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili [upper B+]
3.5-3.79 - Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu [lower B+]
2.5-3.49 - Pass (Thank-you Oh Lord degree a.k.a. gentleman degree)
< 2.5 - Fail
Mimi nina honor kutoka UDSM
Hii ina maana kila mwaka GPA yake imekuwa ikipanda.
Mimi nilipata sup 2 mwaka wa 1 nilipata sup.1 na mwaka wa 2 nilipata 1
Ila mwisho wa siku nilipata honor ni kutokana na GPA kupanda kila mwaka
Mwaka wa 1, GPA ilikuwa 3.5,
Mwaka wa 2 GPA ilikuwa 3.8
Mwaka wa 3 GPA ilikuwa 4.1
Honor ni kupanda kwa GPA kila mwaka
Nawasilisha
Honours ni kutopata supp au carry na sio kupanda kwa GPA
Jibu la haraka haraka.
Hii ina maana katika kuhitimu mafunzo (shahada) yake ameshika nafasi ya tatu.
Shahada zipo kwenye viwango hivi na nitavifafanua baadae:
​
- 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza)
- Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili
- Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu
- Pass (au Thank-you Oh Lord degree a.k.a. gentleman degree)
- Fail (umefeli au kushika mkia)
LOWER SECOND WITH HONORS inamaana gani?
Inamaanisha kuwa katika masomo ya kozi yake amejitahidi na kupata GPA (Grade Point Average) ya wastani wa B+ kwa masomo yote. Hii GPA sio kiashiria cha mafanikio yake kwenye maisha au kazini. Kwa mwajiri hii ina maana huyu kijana akimpa jukumu unaweza kutegemea ufanisi mzuri zaidi ya wastani (better than average performance). Aina ya shahada iliyopo kwenye cheti chako itakusaidia tu kufungua milango katika kutafuta ajira.
Inawezakana kabisa mwanafunzi mwenye pass (B) degree akawa na ufanisi wa A+ kazini na 1st class honor (A+) degree holder akawa na ufanisi duni kazini.
Hii GPA inakokotolewaje?
Nitakupa mfano hai ninaoufahamu mimi kwa hapa nilipo. (Utaratibu huu unaweza kutofautiana na sehemu nyingine).
Kuanzia mwaka wa kwanza mpaka mwanafunzi anamaliza shahada yake kila somo akilimaliza atapewa alama ya A, B, C, D, F kufuatia na ufaulu wake. Kila alama ina uzito wake (huu uzito unatofautiana kutoka shule hadi shule) kama ifuatavyo:
A+ = 5.0
A =4.5
A- =4.0
B+ =3.5
B =3.0
B- =2.5
C+ =2.0
C =1.5
C- =1.0
D+ =0.5
F =0
Zaidi ya kila alama kuwa na uzito wake, pia kila somo linapewa uzito kulingana na ugumu au umuhimu wake katika hiyo shahada.
Kwa mfano: Kama unafanya shahada ya uchumi (Economics), basi somo linalochambua sera za kiuchumi (MONETARY/FISICAL policies) litakuwa na uzito mkubwa kuliko somo la mwaka wa kwanza kama Introduction to Microeconomics. Uzito wa somo pamoja na uzito wa alama aliyopata mwanafunzi ndivyo vinavyotumika kukokotoa (weighted average) GPA. (Kama utataka mfano wa kukokotoa weighted average nitonye nitakuwekea)
Hivi ndio viwango vya shahada kufuatia GPA yake atakapomaliza shahada yake:
4.00-5.00 - 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza) [A-, A, A+]
3.80-3.99 - Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili [upper B+]
3.5-3.79 - Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu [lower B+]
2.5-3.49 - Pass (Thank-you Oh Lord degree a.k.a. gentleman degree)
< 2.5 - Fail
Jibu la haraka haraka.
Hii ina maana katika kuhitimu mafunzo (shahada) yake ameshika nafasi ya tatu.
Shahada zipo kwenye viwango hivi na nitavifafanua baadae:
​
- 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza)
- Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili
- Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu
- Pass (au Thank-you Oh Lord degree a.k.a. gentleman degree)
- Fail (umefeli au kushika mkia)
LOWER SECOND WITH HONORS inamaana gani?
Inamaanisha kuwa katika masomo ya kozi yake amejitahidi na kupata GPA (Grade Point Average) ya wastani wa B+ kwa masomo yote. Hii GPA sio kiashiria cha mafanikio yake kwenye maisha au kazini. Kwa mwajiri hii ina maana huyu kijana akimpa jukumu unaweza kutegemea ufanisi mzuri zaidi ya wastani (better than average performance). Aina ya shahada iliyopo kwenye cheti chako itakusaidia tu kufungua milango katika kutafuta ajira.
Inawezakana kabisa mwanafunzi mwenye pass (B) degree akawa na ufanisi wa A+ kazini na 1st class honor (A+) degree holder akawa na ufanisi duni kazini.
Hii GPA inakokotolewaje?
Nitakupa mfano hai ninaoufahamu mimi kwa hapa nilipo. (Utaratibu huu unaweza kutofautiana na s
Kuanzia mwaka wa kwanza mpaka mwanafunzi anamaliza shahada yake kila somo akilimaliza atapewa alama ya A, B, C, D, F kufuatia na ufaulu wake. Kila alama ina uzito wake (huu uzito unatofautiana kutoka shule hadi shule) kama ifuatavyo:
A+ = 5.0
A =4.5
A- =4.0
B+ =3.5
B =3.0
B- =2.5
C+ =2.0
C =1.5
C- =1.0
D+ =0.5
F =0
Zaidi ya kila alama kuwa na uzito wake, pia kila somo linapewa uzito kulingana na ugumu au umuhimu wake katika hiyo shahada.
Kwa mfano: Kama unafanya shahada ya uchumi (Economics), basi somo linalochambua sera za kiuchumi (MONETARY/FISICAL policies) litakuwa na uzito mkubwa kuliko somo la mwaka wa kwanza kama Introduction to Microeconomics. Uzito wa somo pamoja na uzito wa alama aliyopata mwanafunzi ndivyo vinavyotumika kukokotoa (weighted average) GPA. (Kama utataka mfano wa kukokotoa weighted average nitonye nitakuwekea)
Hivi ndio viwango vya shahada kufuatia GPA yake atakapomaliza shahada yake:
4.00-5.00 - 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza) [A-, A, A+]
3.80-3.99 - Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili [upper B+]
3.5-3.79 - Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu [lower B+]
2.5-3.49 - Pass (Thank-you Oh Lord degree a.k.a. gentleman degree)
< 2.5 - Fail
mkuu kwa nijuavyo mimi vyuo vya tz ipo hivi
4.4-5.0 first class
3.5-4.3 upper second
2.7-3.4 lower second
2.0-2.6 pass
na katika madaraja ipo hivi
A
B+
B
C
D
E
F
sasa mbona classification yako haiendan na chuo chochote hapa tz? ni system ya nchi gani hiyo
Asante kwa swali.
Nilifundisha UDSM kuanzia early 80s hadi 1993. Baada ya hapo nilihamia USA. Viwango nilivyotoa ni vile ninavyotumia sasa.
Kama kuna cha ziada niulize.
hata wewe unadanganya jamaa kaeleza vizuri pia amejaribu kuweka approximations nzuri hi yo 4.4 kwa sua ni upper secondmkuu kwa nijuavyo mimi vyuo vya tz ipo hivi
4.4-5.0 first class
3.5-4.3 upper second
2.7-3.4 lower second
2.0-2.6 pass
na katika madaraja ipo hivi
A
B+
B
C
D
E
F
sasa mbona classification yako haiendan na chuo chochote hapa tz? ni system ya nchi gani hiyo
kwa hapa bongo anayepewa honour ni yule aliyemaintain au gpa ya kupanda bila kudrop.