Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,112
Ataepukana na stress alizonazo zitakuja mpyaUtakatifu ndo hauwezi kumfanya awe 'stressful'? maana atakumbana na changamoto na majaribu...
Ataepukana na stress alizonazo zitakuja mpyaUtakatifu ndo hauwezi kumfanya awe 'stressful'? maana atakumbana na changamoto na majaribu...
FREE!!!!
Penzi langu ni mateso makubwa...Mwanamke niliyenaye nampenda sana ila sifuraishwi na tabia zake... Ananichuna, anipi mzigo, hajui hata kunipetipeti nikiona simu yake naogopa maana najua naliliwa shida, yeye hashei furaha na mimi ni shida tu naelezwa....Ananitesa sana nakufa kiume na kumuacha siwezi.
Mungu nipe nguvu niione kweli.
Penzi langu ni mateso makubwa...Mwanamke niliyenaye nampenda sana ila sifuraishwi na tabia zake... Ananichuna, anipi mzigo, hajui hata kunipetipeti nikiona simu yake naogopa maana najua naliliwa shida, yeye hashei furaha na mimi ni shida tu naelezwa....Ananitesa sana nakufa kiume na kumuacha siwezi.
Mungu
Hakuna hata kimojawapo hapoKwanza pole kwa kuachwa/ kuacha/kuachika/ kumtema/ au whatever
Nadukua maana ya hilo neno ....compl.....Process ya vibali nimeshaanza tayari
Hope compliance halitakuwa tatizo kwangu.
Nadukua maana ya hilo neno ....compl.....
Nikipata maana yake....utaruhusiwa kujihifadhi
Nitakupeleka MNRT kwanza....Hope vibali havitanilazimu kwenda TRA
Nitakupeleka MNRT kwanza....
Eehh kumbe ulikuwa watafuta hifadhi ipi hiyo...mh huko si nitapewa mashart ya vibali vya kuwinda twiga ?
Wote tunachangamoto kama izo ila tumeambiwa tufupishe kwa kuipa jina moja, maana kila mtu akitaka kuelezea sana huu utakua sio Uzi tens Bali ni gazetiPenzi langu ni mateso makubwa...Mwanamke niliyenaye nampenda sana ila sifuraishwi na tabia zake... Ananichuna, anipi mzigo, hajui hata kunipetipeti nikiona simu yake naogopa maana najua naliliwa shida, yeye hashei furaha na mimi ni shida tu naelezwa....Ananitesa sana nakufa kiume na kumuacha siwezi.
Mungu nipe nguvu niione kweli.