Define your love life in one word

Penzi langu ni mateso makubwa...Mwanamke niliyenaye nampenda sana ila sifuraishwi na tabia zake... Ananichuna, anipi mzigo, hajui hata kunipetipeti nikiona simu yake naogopa maana najua naliliwa shida, yeye hashei furaha na mimi ni shida tu naelezwa....Ananitesa sana nakufa kiume na kumuacha siwezi.

Mungu nipe nguvu niione kweli.
 
Kama mimi tu huyu mtu sijui alizaliwa wapi wasikojua mapenzi huko laah
bbade
Soon nitamwacha tu nikaombe hifadhi kwa
Penzi langu ni mateso makubwa...Mwanamke niliyenaye nampenda sana ila sifuraishwi na tabia zake... Ananichuna, anipi mzigo, hajui hata kunipetipeti nikiona simu yake naogopa maana najua naliliwa shida, yeye hashei furaha na mimi ni shida tu naelezwa....Ananitesa sana nakufa kiume na kumuacha siwezi.

Mungu
 
Penzi langu ni mateso makubwa...Mwanamke niliyenaye nampenda sana ila sifuraishwi na tabia zake... Ananichuna, anipi mzigo, hajui hata kunipetipeti nikiona simu yake naogopa maana najua naliliwa shida, yeye hashei furaha na mimi ni shida tu naelezwa....Ananitesa sana nakufa kiume na kumuacha siwezi.

Mungu nipe nguvu niione kweli.
Wote tunachangamoto kama izo ila tumeambiwa tufupishe kwa kuipa jina moja, maana kila mtu akitaka kuelezea sana huu utakua sio Uzi tens Bali ni gazeti
 
Back
Top Bottom