thewajibu
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 226
- 292
Habari wana JamiiForums,
Bila ya kupoteza muda niende kwenye mada husika napenda tubadilishane mawazo kuhusu dubwasha hili kubwa ambalo linasemekana ni 90% ya internet duniani DARK WEB.
Je umewahi kwenda kule? Ulienda kufanya nini,Uliona nini na uligundundua nini.
Nikianza na mimi nilipoenda kule nilienda nilitaka kuona tovuti iliyokuwa ikijulikana sana kwa kuuza madawa ya kulevya kwa jina (Silk Road) nilitaka kujua hivi kweli mtu ametengeneza tovuti kama ebay ili auze dawa za kulevya lakini bahati mbaya nilikuta FBI wameiporomoa.
Cha pili niligundua kule kuna mijadala mikubwa na ya maana inayohusu masuala mbalimbali duniani bila udhibiti wowote hivyo inakuwa deep sana.
Nilikuta mitandao ya kijamii mingi kama facebook na notebook, nilitaka kujiunga facebook lakini wakaniomba email nikahairisha.
Ni vingi vya kushangaza kule kama vile wezi wa kukodishwa n.k
Nilichogundua kingine unapoingia Deep Web mtandao unakuwa chini hata kama unatumia kifaa cha kiwango cha juu.
Share pamoja nasi kile ukijuacho kuhusu Deep Web.
MAGA 2020
Bila ya kupoteza muda niende kwenye mada husika napenda tubadilishane mawazo kuhusu dubwasha hili kubwa ambalo linasemekana ni 90% ya internet duniani DARK WEB.
Je umewahi kwenda kule? Ulienda kufanya nini,Uliona nini na uligundundua nini.
Nikianza na mimi nilipoenda kule nilienda nilitaka kuona tovuti iliyokuwa ikijulikana sana kwa kuuza madawa ya kulevya kwa jina (Silk Road) nilitaka kujua hivi kweli mtu ametengeneza tovuti kama ebay ili auze dawa za kulevya lakini bahati mbaya nilikuta FBI wameiporomoa.
Cha pili niligundua kule kuna mijadala mikubwa na ya maana inayohusu masuala mbalimbali duniani bila udhibiti wowote hivyo inakuwa deep sana.
Nilikuta mitandao ya kijamii mingi kama facebook na notebook, nilitaka kujiunga facebook lakini wakaniomba email nikahairisha.
Ni vingi vya kushangaza kule kama vile wezi wa kukodishwa n.k
Nilichogundua kingine unapoingia Deep Web mtandao unakuwa chini hata kama unatumia kifaa cha kiwango cha juu.
Share pamoja nasi kile ukijuacho kuhusu Deep Web.
MAGA 2020