mahahila
New Member
- Dec 12, 2023
- 2
- 6
DED Gairo amekuwa kiburi na majivuno, halipi stahiki za watumishi akisema mapato madogo lakini yeye kutwa safari na anajilipa, anatukana watumishi bila kujali umri maana wengine wamemzidi sana. Anambeza na kumdharau DC wa Gairo ikiwa ni boss wake.
Waziri Mchengerwa fatilia hili, watumishi Gairo DC wanafanya kazi kinyonge na hata ari ya kazi hawana sababu ya Sharifa Nabalanganya ambaye ndiyo Mkurugenzi.
Waziri Mchengerwa fatilia hili, watumishi Gairo DC wanafanya kazi kinyonge na hata ari ya kazi hawana sababu ya Sharifa Nabalanganya ambaye ndiyo Mkurugenzi.