Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,489
Data sio mbaya vipo vifurushi vingi vingi na speed siku hizi pia ipo vizuri. Ila inategemea na mahala unapoishi pia.tatizo bongo wanalalamika data sijui mpaka lini halafu wanataka kutizama stream za mabdro
chief pamoja mkuu